Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Hahaha.............mbinu tunazo nyingi, japo nguvu ndiyo hatuna kwasasa 🤗Babu nyie wajanja sana ,najifunza kutoka kwenu😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha.............mbinu tunazo nyingi, japo nguvu ndiyo hatuna kwasasa 🤗Babu nyie wajanja sana ,najifunza kutoka kwenu😅😅
NImesema siku hzi unajibu post za humu zamani ulikuwa unalike tu hii ni nzuriSijaelewa, ila pia sijui kitu
😁😁hivi kuanza kuitwa babu ni kwanzia floor ya ngap?Hahaha.............mbinu tunazo nyingi, japo nguvu ndiyo hatuna kwasasa 🤗
Nitajenga nyumba zakupanga hazina stressVyema kuwa na hiyo roho ya Upambanaji, ili akitoke Mr Siku za usoni akikupa kibunda unajua namna ya kukizalisha kupitia biashara na ujasiriamali Kwa ujumla
No nilikua najibu mbona ,sema wewe umeanza kunijua juzi kwa I'd hii niliyoomba iunganishwe.NImesema siku hzi unajibu post za humu zamani ulikuwa unalike tu hii ni nzuri
60+60 = ??? Tafuta pesa upate 60-30 = Used from ChinaHebu tupeane uzoefu kumtongoza mwanamke wa umri 60 +. Nini matokeo? Je, kuna uwezekano wa kupigwa kibuyu? Wazee wenzangu hebu tupeane mrejesho.
Kuna mzee mwenzangu nina hofu asije nitangaza akanivunjia heshima. Wasiwasi wangu wanawake huongea sana.🙂🙂🙂
Hapo sawa 🤗Nitajenga nyumba zakupanga hazina stress
Kuanzia 45 Mkuu 🤗😁😁hivi kuanza kuitwa babu ni kwanzia floor ya ngap?
Babo 7 tu babu😅Kuanzia 45 Mkuu 🤗
Kumbe bado parefu kidogoBabo 7 tu babu😅
Sio kihivyo babu😆Kumbe bado parefu kidogo
Sisi huku tunahangaika kupaka piko ili kuficha Mvi zetu Kwa Uzee
Hahaha..............yaani Kwa Rika lako, kama utajitunza na kulinda afya, una uhakika wa kuishi hadi kuwaona DP World wakikabidhi bandari zetu baada ya Mkataba wao kuishaSio kihivyo babu😆
Sema nini babu🤔 apo kwenye uzinzi najilinda tatizo mitungi😅Hahaha..............yaani Kwa Rika lako, kama utajitunza na kulinda afya, una uhakika wa kuishi hadi kuwaona DP World wakikabidhi bandari zetu baada ya Mkataba wao kuisha
Kuna dawa kama umechoka kula mitungiSema nini babu🤔 apo kwenye uzinzi najilinda tatizo mitungi😅
Babu sijachoka ,huwa napenda sana kuburudika mara moja moja😅Kuna dawa kama umechoka kula mitungi
Japo utatapika kama masaa kadhaa hivi kisha ndiyo utaacha moja kwa moja tungi
Hahaha..............hutaki kuwa mlokole kama Babu yenu hapa? Sio mtu wa gambe Wala totozi 🤗Babu sijachoka ,huwa napenda sana kuburudika mara moja moja😅
Babu kuhusu ulokole unanichokoza sasa🤣🤣🤣Hahaha..............hutaki kuwa mlokole kama Babu yenu hapa? Sio mtu wa gambe Wala totozi 🤗
Tehe tehe tehe🤣🤣🤣🤣🤣🤣Babo 7 tu babu😅
Marcy unacheka nini madam ?sikupendi tena😊Tehe tehe tehe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
nImefurahi kutambua umri wakoMarcy unacheka nini madam ?sikupendi tena😊