hahaha kama ndio hivyo basii ajiandae kubuma " maaana kizazi chenu "" kimeshafikwa na majukumu hakina muda wa kufuatilia " burudani" wengine ambao walikuwa katika generation yenu wameshafatiki""...."hata muda " wakwenda kwenye " kumbi za starehe hawana""....so ajiandae kupata hasara kwa sbbu kundi alilochagua " kufanya nalo biashara "" halitomnufaishaAmetuimbia mashabiki wake wa miaka ile ile... nyie new school kasikilizeni calabash
Aah ngoma zipo vizuri mkuu ata vijana wa sasa tunaenda nazo sawa tu [emoji23]....hahaha kama ndio hivyo basii ajiandae kubuma " maaana kizazi chenu "" kimeshafikwa na majukumu hakina muda wa kufuatilia " burudani" wengine ambao walikuwa katika generation yenu wameshafatiki""...."hata muda " wakwenda kwenye " kumbi za starehe hawana""....so ajiandae kupata hasara kwa sbbu kundi alilochagua " kufanya nalo biashara "" halitomnufaisha
Sawaaa..naona unajaribu " kunitongoza..."" lakini kwa kuwa kila kitu huwa kinapata kuwa kitakatifu pindi nguvu ya propaganda inapoamua kutumika...huwenda " propaganda ikitumiwa kwake "" anaweza aka hit,…Ngoja tuuachie muda na fasi ya kuhukumu "" maana ndio hakimu wa haki""....Aah ngoma zipo vizuri mkuu ata vijana wa sasa tunaenda nazo sawa tu [emoji23]....
Alafu Nature yupo hewani sasa hivi msikilize Times Fm
Huu wimbo ukifika jumatatu ijayo bado unaskika mitaani nitaamini kweli uchawi upo....😀😀😀 Juma anatakiwa abadilike staili hii ya muziki haiuzi tena siku hizi....anamuona MTMK mwenzake chegge anavyocheza na wakati?Wazee wengangu mhenga mwenzetu karudi sifa ya juma nature chorus zinazoimbika na kushikika sikia hii
Ukirudi nyumbani unayumba yumba kitu gani kimekusibu x2
Ukirudi gheto unayumba yumba kitu gani kimekusibux2
Naona unashindwa kusimama na mguu mmoja
Ulevi huo x2
Umeshawahi hudhuria show hata moja ambayo nature yupo? Siku za karibunihahaha kama ndio hivyo basii ajiandae kubuma " maaana kizazi chenu "" kimeshafikwa na majukumu hakina muda wa kufuatilia " burudani" wengine ambao walikuwa katika generation yenu wameshafatiki""...."hata muda " wakwenda kwenye " kumbi za starehe hawana""....so ajiandae kupata hasara kwa sbbu kundi alilochagua " kufanya nalo biashara "" halitomnufaisha
Hiyo show ilikuwa inafanyika wapi mkuu"",..mars au ""....Juma nature nae bado anafnya show...chief""?Umeshawahi hudhuria show hata moja ambayo nature yupo? Siku za karibuni
Hiyo miondoko sisi wahenga ndio tuliimiss sasaTunakubaliana kila mtu ana haki ya kutoa maoni Yke eehh""!!? ......
basi bwana mimi nimezisikiliza " lakini Mhh" bado anafanya aina ile ile ya Music wa Miaka ya mwanzoni mwa 2000....Uandishi wake bado wala hana midondoko....ana safari kubwa mnooo ya kuweza kushinda soko la ushindani lilikuwapo sasa "".........
wahenga " mko wachache " soko lake lazima litayumba tu""...wahenga wengi hawana muda na entatainment " kutokana na kukabiliwa na majukumu makubwa ya kifamilia....vijana wengi wanaofuatilia entatainment "",.ni under 30 ....simanishi kwamba hawapo wahenga wanaofuatilia "" but waliopo niwachache mnoo...so demand yake ya soko haitomtoshelezesha nature akiwa kama mlishaji....."" ipo siku utaaamini hiki nachokwmbia leoHiyo miondoko sisi wahenga ndio tuliimiss sasa
Hao vijana wenyewe mbona hawana msaada kwake, kazi hawana hela hawana...wahenga " mko wachache " soko lake lazima litayumba tu""...wahenga wengi hawana muda na entatainment " kutokana na kukabiliwa na majukumu makubwa ya kifamilia....vijana wengi wanaofuatilia entatainment "",.ni under 30 ....simanishi kwamba hawapo wahenga wanaofuatilia "" but waliopo niwachache mnoo...so demand yake ya soko haitomtoshelezesha nature akiwa kama mlishaji....."" ipo siku utaaamini hiki nachokwmbia leo
Ahahahah kweli wewe bado sana! Tutakesha hapaHiyo show ilikuwa inafanyika wapi mkuu"",..mars au ""....Juma nature nae bado anafnya show...chief""?
Zilipendwa huwa hawarudigiSir Nature is back hurreeeeee
Huu wimbo mbona kama kaurudia? Nilishawahi kuusikia sema kaubadili kidogo tuWazee wengangu mhenga mwenzetu karudi sifa ya juma nature chorus zinazoimbika na kushikika sikia hii
Ukirudi nyumbani unayumba yumba kitu gani kimekusibu x2
Ukirudi gheto unayumba yumba kitu gani kimekusibux2
Naona unashindwa kusimama na mguu mmoja
Ulevi huo x2
bora ..tukeshe "" Maana nahisi utakuwa unahesabia mpaka zile show za buku 5....ambzo hata watu 100 hawafikiAhahahah kweli wewe bado sana! Tutakesha hapa
nimetoa mtazamo kama huu wakwako lakini wafia juma nature wamekataa kunielewa",...hata mimi nishabiki wa juma nature" lakini hapa naweka mahaba kando naongelea Kile ambacho soko inakihitaji kwa wakati huuPersonally naona kastick kwenye style yake ya 2000's.
Sidhani kama hizi ngoma zitamrudisha hata kama akipewa promo kubwa unless support iwe kubwa toka kwa die hard fans na ile fanbase yake kubwa aliyo kuwa nayo kitambo.
Ni mtazamo wangu
Sure mkuu hata mimi ni shabiki wa juma nature lakini mahaba hayawezi futa ukweli. Kwa huu mziki sidhani kama atarudi wataforce force lakini matokeo hayatakuwa mazuri.nimetoa mtazamo kama huu wakwako lakini wafia juma nature wamekataa kunielewa",...hata mimi nishabiki wa juma nature" lakini hapa naweka mahaba kando naongelea Kile ambacho soko inakihitaji kwa wakati huu
"" hahaa acha uwongo " nenda kaangalie makundi ya watu wanaokusanyikaga kwenye show za first" after school bash ..na nyinezo ambazo unazozijua wewe " halafu angalia rika la watu wanaokwenda ktika hizo show "".... hata kama hela hawana lakini nyie ambao ndio baba zao ..kaka zao ..Dada zao huwa mnawapa pesa za matumizi nawao wana make kwaajili yakwenda kumtazama harmonise... aslay " etcHao vijana wenyewe mbona hawana msaada kwake, kazi hawana hela hawana...