THAN0S
JF-Expert Member
- Apr 30, 2019
- 756
- 727
Nifundishe basiMimi nimejifunza IPDA kutoka kwa Michael huddleston(Ni Mmarekani mwanzilishi wa strategy ya ICT),hadi sasa hivi nimeshamaster pairs kama vile USDZAR, GBPZAR, EURZAR, EURUSD, GBPUSD pamoja na USDCAD.Nimemaster kwa maana ya kwamba najua namna IPDA inavyofanya manipulations kwenye hizo pair na mimi natakiwa kuingia wakati gani(entry rule) na ni wakati gani natakiwa nikae pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app