Wazee wenzangu wa kutrade Forex karibuni tufanye analysis ya pair za kutrade leo

Wazee wenzangu wa kutrade Forex karibuni tufanye analysis ya pair za kutrade leo

Sasa unaweza kutuma na kutoa hela kutoka TEMPLERFX rahisi kabisa kwa kutumia M Pesa , Tigo Pesa , Airtel Money, Halo Pesa.

Kama hujafungua account, fungua sasa



Mahitaji

E mail

Namba yako ya simu kwa mitandao tajwa

Kitambulisho cha Kura AU

Kitambulisho cha Uraia AU

Leseni ya Udereva AU

Passport.


Msaada zaidi njoo PM

________________
---------------------
Dear Traders,
We're happy to announce that Mobile Money service is back.

You can use M-Pesa, Tigo, Airtel , Halotel options for depositing and withdrawals.

For using the service, please, select Mobile Money Tanzania ( Agent) option and follow the instructions you will see.

What makes our service the best in the industry:
-It's fast. You don't need to contact an agent, he/she will ping you first
-It's safe. We implement Deal Protect scheme that ensures safety of your funds.All you need is to stick to the security instructions on the deposit page
-It's convenient. The service is available 24/7

Best, Templer Customer Care Team
 
Sasa unaweza kutuma na kutoa hela kutoka TEMPLERFX rahisi kabisa kwa kutumia M Pesa , Tigo Pesa , Airtel Money, Halo Pesa.

Kama hujafungua account, fungua sasa



Mahitaji

E mail

Namba yako ya simu kwa mitandao tajwa

Kitambulisho cha Kura AU

Kitambulisho cha Uraia AU

Leseni ya Udereva AU

Passport.


Msaada zaidi njoo PM

Sasa unaweza kutuma na kutoa hela kutoka TEMPLERFX rahisi kabisa kwa kutumia M Pesa , Tigo Pesa , Airtel Money, Halo Pesa.

Kama hujafungua account, fungua sasa



Mahitaji

E mail

Namba yako ya simu kwa mitandao tajwa

Kitambulisho cha Kura AU

Kitambulisho cha Uraia AU

Leseni ya Udereva AU

Passport.


Msaada zaidi PM

 
Mimi nimejifunza IPDA kutoka kwa Michael huddleston(Ni Mmarekani mwanzilishi wa strategy ya ICT),hadi sasa hivi nimeshamaster pairs kama vile USDZAR, GBPZAR, EURZAR, EURUSD, GBPUSD pamoja na USDCAD.

Nimemaster kwa maana ya kwamba najua namna IPDA inavyofanya manipulations kwenye hizo pair na mimi natakiwa kuingia wakati gani(entry rule) na ni wakati gani natakiwa nikae pembeni
Je, vipi kuhusu pair ya V75?
 
Sasa unaweza kutuma na kutoa hela kutoka TEMPLERFX rahisi kabisa kwa kutumia M Pesa , Tigo Pesa , Airtel Money, Halo Pesa.

Kama hujafungua account, fungua sasa



Mahitaji

E mail

Namba yako ya simu kwa mitandao tajwa

Kitambulisho cha Kura AU

Kitambulisho cha Uraia AU

Leseni ya Udereva AU

Passport.


Msaada zaidi njoo PM

Sasa unaweza kutuma na kutoa hela kutoka TEMPLERFX rahisi kabisa kwa kutumia M Pesa , Tigo Pesa , Airtel Money, Halo Pesa.

Kama hujafungua account, fungua sasa



Mahitaji

E mail

Namba yako ya simu kwa mitandao tajwa

Kitambulisho cha Kura AU

Kitambulisho cha Uraia AU

Leseni ya Udereva AU

Passport.


Msaada zaidi PM

 
Ninachoamini kwenye hii biashara kama ulijifundisha utazunguka kupata strategy ukisikia MM unaikimbilia ICT vivyo hvyo. Nimefuatilia strategy chungu nzima ila kwangu haziwork. Naamini strategy itakayokupa pesa comfortably komaa nayo. Wapo watu wanaweza kutrade na pair moja au mbili hii ni kutokana strategy yake. Amini forex ni kama kariakoo vya kununua ni vingi na vya kuuza ni vingi. Ili ununue nyanya una prio. Zako nguo hvyo hvyo viatu cm na bidhaa zingine na forex ni hvyo hvyo.

Ila kama hauna knowledge achana na hii biashara kwanza tafuta ujue basics kuihusu.

Risk mgt ndio muhimu sana;
Lot size.
Stop loss.
 
Naona mnapambana kweli kutambiana strategies.[emoji2]

Ila mpaka Sasa hamjamjui mchawi wenu Hasa ni Nini?

Zunguka BTMM,elliotwave,price action,indicators demand and supply na takataka zooote Ila Kama hujui kubalance na trick za MULTIPLE TIMEFRAME ANALYSIS utapigwa tu daily[emoji2]

Sent using Jamii Forums mobile app
Embu mkuu funguka zaidi mkuu nizidi kujifunza
 
hii setup naweza ipata wapi kwa tanzania?

sssss.jpg
 
Ninachoamini kwenye hii biashara kama ulijifundisha utazunguka kupata strategy ukisikia MM unaikimbilia ICT vivyo hvyo. Nimefuatilia strategy chungu nzima ila kwangu haziwork. Naamini strategy itakayokupa pesa comfortably komaa nayo. Wapo watu wanaweza kutrade na pair moja au mbili hii ni kutokana strategy yake. Amini forex ni kama kariakoo vya kununua ni vingi na vya kuuza ni vingi. Ili ununue nyanya una prio. Zako nguo hvyo hvyo viatu cm na bidhaa zingine na forex ni hvyo hvyo.

Ila kama hauna knowledge achana na hii biashara kwanza tafuta ujue basics kuihusu.

Risk mgt ndio muhimu sana;
Lot size.
Stop loss.
Kabisa umeongea point kubwa sana mkuu..
 
Risk mgt ndio muhimu sana;
Lot size.
Stop loss.

Sahihi, RRR ndio kila kitu, Positions hizi nimeweka RRR ya 1:3 most of them
1691047515370.png

- Vyote ulivotaja ni sahihi kwa kuongezea

#4. Uelekeo sahihi wa market | Hapa Tumia HTF (MN_D1 combination)
1691047606570.png


#5. Entry Sahihi | Hapo tumia lower Timeframe for Entry Price Confirmation | Kwangu Lower Time Frame ni M30, H1 na H4
1691047537516.png


#5. Live Market Analysis | Uwe na stratergy yako, Ambayo ni Based to HTF to LTF analysis, Automate hiyo stratergy ili utumie Live data za OHLC price of the last Two Candle vs MN,D1,H4 and H1 | Hapa kwa kifupi Badili stratergy yako yenye indicators kadhaa kuwa EA moja.
1691047936856.png

Picha | Ni sehemu ya EA yangu ambayo inanipatia Signal kwa kutegemea Real Live Data Feed toka MN,D1, H4, H1, and M30

=
Nimepost EA kadhaa ambazo zinatumia Indicator moja Hapa | Search
=
The Most profitable FREE ea nilizo post ni hizi
Recommended TimeFrame | H1 , Tesk kwanza kwenye DEMO ujiridhishe kabla ya kutumia kwenye live account

==
For #Traders

1. Kama wewe ni trader na unatumia indicator na unatamani kubadili indicator moja na kuwa EA | Habari njema ni kuwa naweza kukutengenezea EA for Free , Unachotakiwa kufanya ni ku Upload hiyo indicator hapa JF sehemu ya comment au kule ForexFactory kwenye thread husika na nitaibadili indicator yako kuwa EA for FREE.

2. Kama una PAID indicator from MQL market, Napo inawezekana kuibadili kuwa EA, BUT Not free it cost you only $100 for one Indicator to EA

3. Kama una trading stratergy yenye indicator mfano Tatu, na unahitaji kuzibadili kuwa EA | Basi kila indicator moja cost ni $100 hivyo EA yenye indicators tatu (yaani stratergy yako) basi utalipa $300

Mawasiliano for Private Coding Indicator to EA ni check PM au Telegram @MwlRCT
 
Sahihi, RRR ndio kila kitu, Positions hizi nimeweka RRR ya 1:3 most of them
View attachment 2707073
- Vyote ulivotaja ni sahihi kwa kuongezea

#4. Uelekeo sahihi wa market | Hapa Tumia HTF (MN_D1 combination)
View attachment 2707080

#5. Entry Sahihi | Hapo tumia lower Timeframe for Entry Price Confirmation | Kwangu Lower Time Frame ni M30, H1 na H4
View attachment 2707074

#5. Live Market Analysis | Uwe na stratergy yako, Ambayo ni Based to HTF to LTF analysis, Automate hiyo stratergy ili utumie Live data za OHLC price of the last Two Candle vs MN,D1,H4 and H1 | Hapa kwa kifupi Badili stratergy yako yenye indicators kadhaa kuwa EA moja.
View attachment 2707081
Picha | Ni sehemu ya EA yangu ambayo inanipatia Signal kwa kutegemea Real Live Data Feed toka MN,D1, H4, H1, and M30

=
Nimepost EA kadhaa ambazo zinatumia Indicator moja Hapa | Search
=
The Most profitable FREE ea nilizo post ni hizi
Recommended TimeFrame | H1 , Tesk kwanza kwenye DEMO ujiridhishe kabla ya kutumia kwenye live account

==
For #Traders

1. Kama wewe ni trader na unatumia indicator na unatamani kubadili indicator moja na kuwa EA | Habari njema ni kuwa naweza kukutengenezea EA for Free , Unachotakiwa kufanya ni ku Upload hiyo indicator hapa JF sehemu ya comment au kule ForexFactory kwenye thread husika na nitaibadili indicator yako kuwa EA for FREE.

2. Kama una PAID indicator from MQL market, Napo inawezekana kuibadili kuwa EA, BUT Not free it cost you only $100 for one Indicator to EA

3. Kama una trading stratergy yenye indicator mfano Tatu, na unahitaji kuzibadili kuwa EA | Basi kila indicator moja cost ni $100 hivyo EA yenye indicators tatu (yaani stratergy yako) basi utalipa $300

Mawasiliano for Private Coding Indicator to EA ni check PM au Telegram @MwlRCT

Mimi nachanganya
PA
BTMM

analysis nafanya MN,W1,D1,H4 entry H1. Though bado sijaiva vilivyo
 
Back
Top Bottom