Nifundishe basiMimi nimejifunza IPDA kutoka kwa Michael huddleston(Ni Mmarekani mwanzilishi wa strategy ya ICT),hadi sasa hivi nimeshamaster pairs kama vile USDZAR, GBPZAR, EURZAR, EURUSD, GBPUSD pamoja na USDCAD.Nimemaster kwa maana ya kwamba najua namna IPDA inavyofanya manipulations kwenye hizo pair na mimi natakiwa kuingia wakati gani(entry rule) na ni wakati gani natakiwa nikae pembeni
Ingia hapa Jifunze ICT bure
Mimi nimejifunza IPDA kutoka kwa Michael huddleston(Ni Mmarekani mwanzilishi wa strategy ya ICT),hadi sasa hivi nimeshamaster pairs kama vile USDZAR, GBPZAR, EURZAR, EURUSD, GBPUSD pamoja na USDCAD.Nimemaster kwa maana ya kwamba najua namna IPDA inavyofanya manipulations kwenye hizo pair na mimi natakiwa kuingia wakati gani(entry rule) na ni wakati gani natakiwa nikae pembeni
Ndiyo, strategy kubwa katika forex ni ICT pamoja na BTMM. IPDA ipo ndani ya ICT, mtu ambae anaipenda forex namshauri ajifunze ICT, BTMM siyo nzuri sanaKwamaana nyingine ni kuwa hiyo IPDA au ICT Ni strategy kama zingine kwakuwa zinakusaidia kujua (entry and exit a trade position)
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi ICT imenishnda. Ila najua strategy yoyote inahusu (ENTRY AND EXIT RULES) haijalishi jina la strategy maana kila mtu atatafuta namna ya kutrade itakayo mpendeza hata kama watu wawili wafundishwe ICT na huyo michaelNdiyo, strategy kubwa katika forex ni ICT pamoja na BTMM. IPDA ipo ndani ya ICT, mtu ambae anaipenda forex namshauri ajifunze ICT, BTMM siyo nzuri sana
ICT ni pana sana, cha kufanya ili isikushinde chukua kipengele kidogo kufa nacho! Mfano mimi huwa natrade power of 3 kwenye London kill zone na nipo very comfortable.Binafsi ICT imenishnda. Ila najua strategy yoyote inahusu (ENTRY AND EXIT RULES) haijalishi jina la strategy maana kila mtu atatafuta namna ya kutrade itakayo mpendeza hata kama watu wawili wafundishwe ICT na huyo michael
Sent using Jamii Forums mobile app
Tena haswa hapo ndo wiki imeanza ivo EurjpyLiquidity provider!![emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapa sasa unapozungumzia maswala ya kuwa liquidity graber nimekubali upo vizuri mkuu
Tena haswa hapo ndo wiki imeanza ivo Eurjpy View attachment 1374483
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu uongo umeutoa wapi?Nilikuja kugundua asilimia 99.99 ya wanaofundisha forex Tanzania ni matapeli nikasikitika sana, eti mtu anakuchaji hela kisha anaenda kukufundisha types of candlesticks au types of order!
Forex siyo rahisi hata kidogo na nina wasiwasi kama kuna Mtanzania yeyote anaeijua kwa sababu soko la forex ambalo limetawaliwa na market makers ambao hutumia algorithm(Interbank price delivery algorithm-IPDA) katika kufanya manipulation ya soko sina uhakika kama kuna Mtanzania ambaye amejifunza namna IPDA inavyofanya kazi. Kila pair ina style yake ya kuwa manipulated na IPDA na ili uweze kuwa comfortable katika kutrade pair fulani lazima kwanza ujifunze tabia ya IPDA katika hiyo pair.Sasa mtu anaenda kukufundisha kuchora trendline halafu anajiita mentor! Mimi nipo tayari kutoa hela yangu kwa mentor ambae ataweza kunifundisha interbank price delivery algorithm tu!
BTMM inawapiga watu kila siku.Ndiyo, strategy kubwa katika forex ni ICT pamoja na BTMM. IPDA ipo ndani ya ICT, mtu ambae anaipenda forex namshauri ajifunze ICT, BTMM siyo nzuri sana
Ninachoichukia BTMM ni kwamba unatrade blindly!
Uongo tena?! Jifunze ICT mzee!! Mimi strategy yangu huwa natrade IPDA kwenye London open kill zone na niko very comfortable!
Tatizo sio ICT.Uongo tena?! Jifunze ICT mzee!! Mimi strategy yangu huwa natrade IPDA kwenye London open kill zone na niko very comfortable!
Kwa hiyo hakuna market maker?! Liquidity provider ni nani? na huwa anatoaje liquidity?Tatizo sio ICT.
Kuwaambia watu kuhusu IPDA ni aina mpya ya kuwajaza uoga na kuuza strategy yake.
Sawa na BTMM, unatengeneza scenario ya watu kuogopa kwamba kuna Market Marker then unachomeka strategy yako.
Market is always right. Hakuna cha market marker.
Price action is everything.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingia hapa Jifunze ICT bure
@ict_mentorship_videos na hapa @studyICT pamoja na hapa InnerCircleTrader kama unataka kujifunza IPDA direct ingia hapa @ict_mentorship_videos nenda month 8 angalia video inayoitwa intraday profile
NB: Hizo ni instagram group
Scenario ya market marker ni tofauti na traders wanavyodanganywa.Kwa hiyo hakuna market maker?! Liquidity provider ni nani? na huwa anatoaje liquidity?
Ngoja nicheki link ulizotuma shukranNdiyo, strategy kubwa katika forex ni ICT pamoja na BTMM. IPDA ipo ndani ya ICT, mtu ambae anaipenda forex namshauri ajifunze ICT, BTMM siyo nzuri sana
Ndiyo, strategy kubwa katika forex ni ICT pamoja na BTMM. IPDA ipo ndani ya ICT, mtu ambae anaipenda forex namshauri ajifunze ICT, BTMM siyo nzuri sana