Wazijua siri za Vatican?

Nazitoa kimanyantumanyantu.
Maisha ya Yesu kati ya umri wa miaka 13 mpaka 29...kwa nini yamefichwa?JIBU LIPO.
Yamefichwa sababu ni maisha yake binafsi kama mwanadamu ambayo sio umuhimu.
Maisha ya injili ndio ya maana zaidi
 
Sass kwanini hivyo vitabu havijateketezwa hadi leo!?? Vinalindwa ili!??

Acheni urongo
 
hapo ulipo malizia pamekuharibia uzi na kuonekana yote uliyoandika ni uzushi na urongo.
 
Leta source ya taarifa YAKO la sivyo na ww tuna assume ni muongo KWA maanA vigezo ulivotaja tunaomba huna
 
Tunasubili kwa hamu hiyo thread mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…