Kazakh destroyer
JF-Expert Member
- Nov 16, 2017
- 3,278
- 6,843
Sizijui ndio maana nimejisalimisha kwenye maandiko yaliyokuja kutoka kwa muumba wa hiyo mbingu na dunia.Kwhy wewe unazijua siri za mbingu na dunia😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sizijui ndio maana nimejisalimisha kwenye maandiko yaliyokuja kutoka kwa muumba wa hiyo mbingu na dunia.Kwhy wewe unazijua siri za mbingu na dunia😂😂
Mmelishwa tango pori.Vicurius filii dei...ni maandishi yaliyo kwenye kofia ya papa....tafsiri yake ndio 666
Nani anaye promote ushoga, imba kuhusu ugaidi, kelele za corona, mazingira,Tabia ya nchi,haki za bindamu nkWapo wapi makao yao matawi je? Habari bila ushahidi ni umbea
Yamefichwa sababu ni maisha yake binafsi kama mwanadamu ambayo sio umuhimu.Nazitoa kimanyantumanyantu.
Maisha ya Yesu kati ya umri wa miaka 13 mpaka 29...kwa nini yamefichwa?JIBU LIPO.
Sass kwanini hivyo vitabu havijateketezwa hadi leo!?? Vinalindwa ili!??Nayajua Mengi san kuhusu Vatican Siku nikiwa na Muda mzuri nitatoa somo humu, na sitosema nimejuaje ila Vatican Imeficha vitabu vikubwa Zaidi ya 11,
ambavyo kam vikijulikana basi Waafrica Hawatotaman hata Kumuona Mtu mweupe na Waafrica hawatotaman hat kusikia tena neno Msikiti au kanisa,
Yule Papa anajua kila kitu Pamoja na viongozi wengne Wa ngazi ya Daraja la Kwanza Wanaujua Ukweli wote
NB: Hakuna Ikulu au Benki yoyote inayolindwa kuliko Chumba cha Siri cha Vatican Kilindwachwo 24/7 na watu wasiojua hata wanachokilinda ni kitu gani.
hapo ulipo malizia pamekuharibia uzi na kuonekana yote uliyoandika ni uzushi na urongo.Wanachumba chini ya ardhi kilichohifadhi nyaraka kadhaa hasa vitabu 80...vilivyo ondolewa kwenye Bible original.
Kamwe hawaruhusu mtu chini ya miaka 75 kusoma nyaraka hizo..Tena lazima uaminike sana.
Wengi wanaosoma nyaraka hizo hupata dimensia.
Pia ni wazi Mariam Magdalena alikuwa ni mke wa Yesu ndiye anayeonekana kwenye ile picha ya the last supper.
Wanachumba chini ya ardhi kilichohifadhi nyaraka kadhaa hasa vitabu 80...vilivyo ondolewa kwenye Bible original.
Kamwe hawaruhusu mtu chini ya miaka 75 kusoma nyaraka hizo..Tena lazima uaminike sana.
Wengi wanaosoma nyaraka hizo hupata dimensia.
Pia ni wazi Mariam Magdalena alikuwa ni mke wa Yesu ndiye anayeonekana kwenye ile picha ya the last supper.
UshahidiNani anaye promote ushoga, imba kuhusu ugaidi, kelele za corona, mazingira,Tabia ya nchi,haki za bindamu nk
Kwani we mgeni wa kusikia mambo hayo au unadhani Dunia inajiendea tu,kuna mfumo unaotawala dunia iendejeUshahidi
Tunasubili kwa hamu hiyo thread mkuuNayajua Mengi san kuhusu Vatican Siku nikiwa na Muda mzuri nitatoa somo humu, na sitosema nimejuaje ila Vatican Imeficha vitabu vikubwa Zaidi ya 11,
ambavyo kam vikijulikana basi Waafrica Hawatotaman hata Kumuona Mtu mweupe na Waafrica hawatotaman hat kusikia tena neno Msikiti au kanisa,
Yule Papa anajua kila kitu Pamoja na viongozi wengne Wa ngazi ya Daraja la Kwanza Wanaujua Ukweli wote
NB: Hakuna Ikulu au Benki yoyote inayolindwa kuliko Chumba cha Siri cha Vatican Kilindwachwo 24/7 na watu wasiojua hata wanachokilinda ni kitu gani.