tracy wa NJIRO
Member
- Feb 14, 2012
- 71
- 8
Naunga mkono hoja amwage kila kitu hapa!!!Taja jina lake kama unachotaka kutwambia ni kweli. Kama umeweza kutoboa kuwa anakutaka unashindwa nini kumtaja jina. Usipofanya hivyo utachukuliwa kama mtaka sifa na limbukeni na mzushi wa kawaida.
Waziri sonyo?
acha utoto wewe, sasa unashitaki, naamini u r over 18 yrs old, ushauri mvulie akugonge maana ata gari keshaakupa na umechukua au unatafuta ujiko. Ache ushamba wa kingonolabda nyota waziri.
Pokea gari lakini usikubali mambo mengine
acha utoto wewe, sasa unashitaki, naamini u r over 18 yrs old, ushauri mvulie akugonge maana ata gari keshaakupa na umechukua au unatafuta ujiko. Ache ushamba wa kingono