dah! kumbe unamfahamu ,hlf waziri akahamia kwa rafiki yake anasoma CBE .....hawa waheshimiwa ni nouma ,full umeme.Waziri, yule kijana wa mtaani kwenu au. Kama ni waziri kweli mchune tuu halafu sepa, huwa watu kama hawa wasiojiheshimu inabidi tu uwatolee uvivu.[/QUOTE
siyo rahisi hivyo,utabembelezwa,utatishiwa usalama wa familia yako na maisha yako
kuna dogo st.Augustine kajengewa,gari na ngoma juu.take care
umesahau ana asset nyingine mzee, kule back-bencher..
wana jf kuna waziri wa sekta flan na ameoa ila anansumbua ananihonga hadi gari hii inanifanya hadi nitake hama nchi
ushauri plzzzzzz
regards tracy wa njiro
mwanamke wa kibongo?Waziri, yule kijana wa mtaani kwenu au. Kama ni waziri kweli mchune tuu halafu sepa, huwa watu kama hawa wasiojiheshimu inabidi tu uwatolee uvivu.
wana jf kuna waziri wa sekta flan na ameoa ila anansumbua ananihonga hadi gari hii inanifanya hadi nitake hama nchi
ushauri plzzzzzz
regards tracy wa njiro
kwa akili yako m paka aje hapa kumwaga radhi ajagongwa na wazir m ndio maan natoaga yaliyomoyoni naagamwanamke wa kibongo?
Kugonga muhimu na gari utaishia kuambiwa iko bandarini