Waziri ananitaka kimapenzi

Waziri ananitaka kimapenzi

Ogopa au jiandae huyo waziri anatoka Br.rafiki wa Cameron
 
Waziri, yule kijana wa mtaani kwenu au. Kama ni waziri kweli mchune tuu halafu sepa, huwa watu kama hawa wasiojiheshimu inabidi tu uwatolee uvivu.[/QUOTE

siyo rahisi hivyo,utabembelezwa,utatishiwa usalama wa familia yako na maisha yako

kuna dogo st.Augustine kajengewa,gari na ngoma juu.take care
dah! kumbe unamfahamu ,hlf waziri akahamia kwa rafiki yake anasoma CBE .....hawa waheshimiwa ni nouma ,full umeme.
 
Uhame nchi kwa ajili ya mtu asiye na maadili tuambie sisi tumuanike hadharani huyo ni mgonjwa! yawezekana mkewe anatembelea daladala!
 
Ina maana wewe kutongozwa ni ajabu? Una nini cha ziada?
 
JF bana! uskute pengine hajawahi kutongozwa hata na muuza nyanya tangia avunje bakuli.
 
Waziri, yule kijana wa mtaani kwenu au. Kama ni waziri kweli mchune tuu halafu sepa, huwa watu kama hawa wasiojiheshimu inabidi tu uwatolee uvivu.
mwanamke wa kibongo?
kugonga muhimu na gari utaishia kuambiwa iko bandarini
 
Binti yangu hapa umechemsha. Maana umeongea kitoto kiasi cha kutuacha hoi. Kwani kama alikutongoza na uamuzi ni wako sisi wazazi wako tunaingizwaje? Haya kwa mtoto wa kiafrika ni matusi yanayoweza kutafsiriwa kama umalaya. Jaribu kufikiri kabla ya kusema binti yangu usijekuitwa majina ya ajabu ajabu kama changudoa na mengine.
 
waziri c binadamu? Au mpaka utongozwe na barosharo? Usafi wako uko wapi just uamuzi2 ukiamua mpe ukiamua kataa but cha ajabu hakuna maana naye ni binadamu kama wewe vile
 
Huyo ndio alifanya upigwe kibuti siku ya valentine?
 
wana jf kuna waziri wa sekta flan na ameoa ila anansumbua ananihonga hadi gari hii inanifanya hadi nitake hama nchi
ushauri plzzzzzz
regards tracy wa njiro


nyooooooooooooooooooooooooooooo kwa lipi jipya ulilokuwa nalo
loh
 
Back
Top Bottom