Waziri anaunda tume kuchunguza 'kufeli' kwa wanasheria, mbona CPA na PSPTB wanafeli pia?

Waziri anaunda tume kuchunguza 'kufeli' kwa wanasheria, mbona CPA na PSPTB wanafeli pia?

Zygot

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2016
Posts
2,265
Reaction score
2,919
Tunaweza kujadili miaka yote juu ya professional bodies mbali mbali lakini kuna mambo mengi yaliyojificha ndani yake. Sehemu kubwa hii ni biashara kwa wachache.

Mitihani ya CPA watahiniwa wamekuwa wakifeli kila mwaka kwa wingi. Hata matokeo yake mengi huwa ni ya kupanga tu! Rushwa kibao! Leo tunastuka matokeo ya LST, Kwa nini? Je, ni kwa sababu wanasheria ni wapiga kelele?

Je, ni kwa sababu waliofeli wengi ni vijana wadogo ambao bado wazazi wanatoa pesa; wameumizwa? Maafisa ugavi pia hivyo hivyo ingawa wao wako nafuu.

Nisichokubaliana na taasisi hizi za viwango ni kujionesha kwamba kwao ni pagumu.

Mbona mainjinia na madaktari hatusikii vilio hivi? Tena ukisha sajiliwa kama daktari huhitajiki tena kuwa mtumwa wa bodi kwa ada za kila mwaka ambazo hatujui pesa inakwenda wapi.

Kama serikali inaona tatizo, ichunguze wote wanaosajili wataalamu mbali mbali. Itakutana na mengi.

Btw. Kila kijana wa Kihindi anayefanya mitihani ya CPA anashinda kiurahisi sana!!
 
Kibaya zaidi kwa CPA unapewa halafu unaendelea kuwa mtoaji wao. Serikali iko kimyaaa!
Serikali inapenda sana kukimbilia yanayowagusa watoto wa walioko madarakani.
 
Kibaya zaidi kwa CPA unapewa halafu unaendelea kuwa mtoaji wao. Serikali iko kimyaaa!
Serikali inapenda sana kukimbilia yanayowagusa watoto wa walioko madarakani.
Eti jamani! Nasikia hata Riziwani alipita mitihani ya Law schoo? Ni kweli??
 
Btw. Kila kijana wa Kihindi anayefanya mitihani ya CPA anashinda kiurahisi sana!!
Yaonekana watu wana mengi vichwani, halafu waziri analeta-leta mizaha ya tume ya uchunguzi. Vyombo na taasisi zetu hazijakaa vizuri. Ukirudi hata vyuo vikuu watu wanapewa digrii hovyo za PhD. Je, digrii za kwanza wazazi kama hawa hawapigi simu kuomba vijana wao wapitishwe?
 
Hapana jamaniiii ifike hatua watz mfanye utafiti kabla ya kusema .hizi bodi zipo smart saaana na ata hao wanaofaulu ni favour tu ile mitihani ni migumu inahitaji uelewa Sio kukariri na kumbuka zipo kimataifa Sasa mtu ana CPA ukimwambia labda aeleze IFRS6 hawezi kwenye halimashauri wengine hawawezi kufunga mahesabu unategemea nini??
 
Hapana jamaniiii ifike hatua watz mfanye utafiti kabla ya kusema .hizi bodi zipo smart saaana na ata hao wanaofaulu ni favour tu ile mitihani ni migumu inahitaji uelewa Sio kukariri na kumbuka zipo kimataifa Sasa mtu ana CPA ukimwambia labda aeleze IFRS6 hawezi kwenye halimashauri wengine hawawezi kufunga mahesabu unategemea nini??
Wanaisuka sana hadi wanafunzi wanakuwa waoga hata kusoma na kuelewa wanajikuta wanameza ukichanganya na stress za maisha kutoboa inakuwa mtihani.
 
Hapana jamaniiii ifike hatua watz mfanye utafiti kabla ya kusema .hizi bodi zipo smart saaana na ata hao wanaofaulu ni favour tu ile mitihani ni migumu inahitaji uelewa Sio kukariri na kumbuka zipo kimataifa Sasa mtu ana CPA ukimwambia labda aeleze IFRS6 hawezi kwenye halimashauri wengine hawawezi kufunga mahesabu unategemea nini??
Kwamba board ziko smart, inatoa CPA ambaye hawezi kuelezea hata IFRS's na wengine hata kufunga hesabu hawawezi. U-smart wa board uko wapi hapo?
 
Tunaweza kujadili miaka yote juu ya professional bodies mbali mbali lakini kuna mambo mengi yaliyojificha ndani yake. Sehemu kubwa hii ni biashara kwa wachache.

Mitihani ya CPA watahiniwa wamekuwa wakifeli kila mwaka kwa wingi. Hata matokeo yake mengi huwa ni ya kupanga tu! Rushwa kibao! Leo tunastuka matokeo ya LST, Kwa nini? Je, ni kwa sababu wanasheria ni wapiga kelele?

Je, ni kwa sababu waliofeli wengi ni vijana wadogo ambao bado wazazi wanatoa pesa; wameumizwa? Maafisa ugavi pia hivyo hivyo ingawa wao wako nafuu.

Nisichokubaliana na taasisi hizi za viwango ni kujionesha kwamba kwao ni pagumu.

Mbona mainjinia na madaktari hatusikii vilio hivi? Tena ukisha sajiliwa kama daktari huhitajiki tena kuwa mtumwa wa bodi kwa ada za kila mwaka ambazo hatujui pesa inakwenda wapi.

Kama serikali inaona tatizo, ichunguze wote wanaosajili wataalamu mbali mbali. Itakutana na mengi.

Btw. Kila kijana wa Kihindi anayefanya mitihani ya CPA anashinda kiurahisi sana!!
Hamjalalamika watajuaje
 
Tunaweza kujadili miaka yote juu ya professional bodies mbali mbali lakini kuna mambo mengi yaliyojificha ndani yake. Sehemu kubwa hii ni biashara kwa wachache.

Mitihani ya CPA watahiniwa wamekuwa wakifeli kila mwaka kwa wingi. Hata matokeo yake mengi huwa ni ya kupanga tu! Rushwa kibao! Leo tunastuka matokeo ya LST, Kwa nini? Je, ni kwa sababu wanasheria ni wapiga kelele?

Je, ni kwa sababu waliofeli wengi ni vijana wadogo ambao bado wazazi wanatoa pesa; wameumizwa? Maafisa ugavi pia hivyo hivyo ingawa wao wako nafuu.

Nisichokubaliana na taasisi hizi za viwango ni kujionesha kwamba kwao ni pagumu.

Mbona mainjinia na madaktari hatusikii vilio hivi? Tena ukisha sajiliwa kama daktari huhitajiki tena kuwa mtumwa wa bodi kwa ada za kila mwaka ambazo hatujui pesa inakwenda wapi.

Kama serikali inaona tatizo, ichunguze wote wanaosajili wataalamu mbali mbali. Itakutana na mengi.

Btw. Kila kijana wa Kihindi anayefanya mitihani ya CPA anashinda kiurahisi sana!!
Wakitoka huko waje na upande wa masters upande wa research mara unaambiwa impotea mara nn
 
Back
Top Bottom