JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Waziri wa Afya, Waziri Ummy Mwalimu amesema katika Mkoa wa Iringa kuna tatizo kubwa la udumavu kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano.
Ameyasema hayo leo Agosti 13, 2022 akidai kuwa kiwango cha udumavu mkoani humo ni asilimia 47 ambapo katika kila watoto 100, watoto 47 wamedumaa.
“Tunazungumzia kuboresha elimu, afya, miundombinu na vingine vingi lakini kama watoto wamedumaa hawawezi kufundishika hatutakuwa madaktari, walimu wahandisi wazuri.
“Tunapovua samaki tusiuze wote tuwape watoto wetu, tunywe maziwa tutapunguza watoto wanaoumwa hovyo,” - Ummy Mwalimu.
Ameyasema hayo leo Agosti 13, 2022 akidai kuwa kiwango cha udumavu mkoani humo ni asilimia 47 ambapo katika kila watoto 100, watoto 47 wamedumaa.
“Tunazungumzia kuboresha elimu, afya, miundombinu na vingine vingi lakini kama watoto wamedumaa hawawezi kufundishika hatutakuwa madaktari, walimu wahandisi wazuri.
“Tunapovua samaki tusiuze wote tuwape watoto wetu, tunywe maziwa tutapunguza watoto wanaoumwa hovyo,” - Ummy Mwalimu.