Waziri Bashe: Bei za vyakula nchini zitaanza kushuka mwezi Machi 2023

Waziri Bashe: Bei za vyakula nchini zitaanza kushuka mwezi Machi 2023

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

BEI ZA CHAKULA KUSHUKA MACHI - SERIKALI

Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe, asema bei za chakula nchini zitaanza kushuka mwezi Machi mwaka huu, huku akitangaza mpango wa Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan kuwasaidia wakulima waongeze tija kwenye uzalishaji wa chakula nchini
 
March mbali basi bado siku 22 tu
 
Mvua zitakuwa zimeshamiri, masika nchi nzima. Hicho chakula cha bei chee kitatoka kwenye shamba la nani?
 
Back
Top Bottom