Tetesi: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana

Tetesi: Waziri Bashe kujiuzulu muda wowote kumfuata Kinana

msimseme bashe kwa sababu tu kinana ni Mtanzania mwenye asili ya kisomali na bashe ni msomali wa kitanzania pia. hilo ni kabila tu, ila ni wenzetu.
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.

Tunasubiri tuone
Amfuate kwenda wapi? Mogadishu?
 
Mh.waziri husein bashe hajiuzuru ataendelea kupiga kazi Kama kawaida huyo mpina atuondolee ujinga wake huo
 
Na hapo ni wasomali wawili tu, je siku wakifika 15 au 20 si tutauzwa tukijiona
 
Taarifa zisizoaminika zinasema kuwa Nape atakuwa katibu Mkuu wa CCM na Januari atakuwa makamu mwenyekiti wa CCM. Nchimbi anarudishwa ubalozini kwenda kujaza nafasi iyoachwa wazi na Thabit Kombo. Habari hizi ni za kutunga tu lakini zina uhakika japo haziaminiki
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.

Tunasubiri tuone

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Mjomba ACHA utani ugali mtamu kuuachia kibongo bongo siyo swala jepesi
 
Ebu ngoja tuone
 

Attachments

  • JamiiForums-1335525996.jpeg
    JamiiForums-1335525996.jpeg
    67.4 KB · Views: 2
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.

Tunasubiri tuone

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Ok sawa. Ebu fuatilia na habari za Mwigulu
 
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.

Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.

Tunasubiri tuone

Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Watu wa bara ngumu kujiuzulu tuna uchu na uroho wa kuzaliwa
 
Back
Top Bottom