Rayns
JF-Expert Member
- Jul 29, 2023
- 3,620
- 7,818
Zipi hizo mkuuMambo ni mengi sana, kabla ya Kujiuzulu kuna ishu nyingine kama tatu zinakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipi hizo mkuuMambo ni mengi sana, kabla ya Kujiuzulu kuna ishu nyingine kama tatu zinakuja
Sukari ilishaikishwa elfu kumi kilo, Bashe kuirudisha bei ya kawaida na kuendelea kuishusha bei ndiyo kosa lake?Mafanikio makubwa ya Bashe aliyopata akiwa Waziri ni kuiua JATU PLC basi.
Hakuna cha maana alichofanya hadi sasa
Amfuate kwenda wapi? Mogadishu?Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Chama kidumu hakijawahi kuwa kisafi sii tu kwenye utumishi wake kwa taifa hata chaguzini.Ni Bora awajibike kujiudhuru, Ili asiendelee kukitia aibu chama chake, kutokana na hii kashfa kubwa ya ufisadi
🤣🤣🤣🤣🤣 nipigieeeee nipo freeUko wapi we mwanamke
Yaan wallah kila nikikuona mpendwa wangu,,neno linalo kuja kichwani ni uko wapi....🤣🤣🤣🤣🤣 nipigieeeee nipo free
Muda utaongeaInakuwaje "taarifa" ikiwa ni tetesi?
Uongo mtupu.
Mjomba ACHA utani ugali mtamu kuuachia kibongo bongo siyo swala jepesiZiko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Ok sawa. Ebu fuatilia na habari za MwiguluZiko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Kipanya kafikisha ujumbe mkubwa kwa mchoro wa kawaidaEbu ngoja tuone
Watu wa bara ngumu kujiuzulu tuna uchu na uroho wa kuzaliwaZiko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia