Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 701
- 895
wakusanyane na fisadi mwenzie warudi kwao somalia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usomali ni utaifa na sio kabila ndugu.msimseme bashe kwa sababu tu kinana ni Mtanzania mwenye asili ya kisomali na bashe ni msomali wa kitanzania pia. hilo ni kabila tu, ila ni wenzetu.
Subiri tu mkuu ijumaa sio mbali, sasa hivi ni mfululizo wa matukio mpaka 2025Zipi hizo mkuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yaan wallah kila nikikuona mpendwa wangu,,neno linalo kuja kichwani ni uko wapi....
Ndio maana wenye magazeti naona wanachekelea huku mtaani, kweli Raisi wetu anapewa wakati mgumu Sana na wasaidizi wakeZiko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Mara nyingi huwa ni issue za kushindwana mgao wa rushwa baada ya kuibaHii tabia ya kujiuzulu halafu mtu hawajibishi kisheria ni ya hovyo sana.
Primitive barbaric behavior.
Huyu ni zaidi ya tapeliAende zake aka... mbele.
Sijui BBT yake imefikia wapi?!
Anyway, huyu ndo chanzo cha JATU kufa.
Halafu akachukua mawazo ya Bwana mdogo Peter kwenda kuya-apply kwenye BBT matokeo yake ni AIBU!
Kumekucha !Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Wewe ndiye inawezekana ulienda kusomea ujinga, kama unatetea kilichotokea kwenye hili sakata la sukari.Sukari ilishaikishwa elfu kumi kilo, Bashe kuirudisha bei ya kawaida na kuendelea kuishusha bei ndiyo kosa lake?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Kesi ya LUHAGA MPINA aliyofungua ndio itathibitisha Bashe na MPINA nani ni mkweli,mengine porojo tuSukari ilishaikishwa elfu kumi kilo, Bashe kuirudisha bei ya kawaida na kuendelea kuishusha bei ndiyo kosa lake?
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Ajiuzulu fasta huyu kabla hajavikwa makopo shingoni.😏😎Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Kama lowasa aliachia uwaziri mkuu baada ya kubanwa kila Kona . Bashe ni nani? AsijuzuluZiko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
porojo, si rahisi kwa wafu sisiZiko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia
Kinana ni team Mkwere na Bashe sio kampani yao. Bashe ni team Lowassa, Nchimbi, Rostam.Mungu ibariki Tanzania
Ziko taarifa kuwa Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe anatajia kujiuzulu wadhifa wake wakati wowote kuanzia sasa kumfuata mjomba wake Kinana aliyejiuzulu jana.
Sababu zinazotajwa ni kutokana na kuandamwa na kashfa ya sukari ambayo imeshindikana kuzimika licha ya kutumia fedha nyingi kununua magazeti yasiandike kashfa hiyo.
Tunasubiri tuone
Pia soma
- Kuelekea 2025 - Abdulrahman Kinana, Makamu Mwenyekiti (CCM) Ajiuzulu, Rais Samia Suluhu Aridhia