WAZIRI BASHE: TUKO KWENYE HATUA YA MWANZO YA MRADI WA KESHO IMARA.
"Nataka kukufahamisha kuhusu ‘Building a better tomorrow’ project Mradi huu uliopo hatua za mwanzo sisi wizara tutatenga fedha, kima cha chini 5B kwa kuanzia.
Kwasababu: Vijana hawaendi shambani na hawana motisha kuingia katika kilimo, changamoto za;
1) Upatikanaji wa Mtaji fedha
2) Upatikanaji wa Ardhi
3) Teknolojia
4) Masoko ya uhakika
Manbo haya yote huwakwamisha vijana na watanzania wengi wenye ndoto za kufanya kilimo Kikubwa na chenye tija.
Kwahivyo tumeamua kutengeneza maeneo Maalum ya kilimo (agricultural parks), maeneo haya yatafanyiwa vipimo (soil analysis etc) na upembuzi. Pia tutapeleka miundombinu ya maji na barabara. Baada ya kuweka vyote tutakata vipande shamba (block farms) ambazo tutawakabidhi vijana ambao watapatikana kwa programu maalumu yenye vigezo vya kukidhi.
Rai yangu kwa wadau wa maendeleo tutawafuata kuwaomba fedha tuchange pamoja.
Na lengo letu la msingi ni kuwapatia vijana mitaji hai na yenye tija. Kuanzia kwenye ardhi ambako tutaweka mifumo imara ya umwangiliaji, kuwafunda ukulima bora, tutawasaidia mbegu bora na mbolea ili wazalishe.
Hata hivyo tutawaunganisha vijana hawa na masoko kwajili ya mazao yao.
Jambo la msingi kwakua nia yetu na jambo hili lina tija kubwa hivyo Ardhi na fedha zote tutazitenga, na tutahakikisha tunawasaidia vijana hawa kutumia teknolojia za kisasa na mashine za kisasa za kilimo huku maeneo yote yakiunganishwa na mifumo rasmi ya wanunuzi (Offtakers).
Kwa kuwa na kilimo cha kisasa katika nchinyetu tutaongeza sio tu uzalishaji na ubora wa mazao yetu ili tutapunguza tatizo la ajira, tutahamasisha ushiriki wa vijana wengi kwenye kilimo na kujenga Uchumi endelevu wa nchi yetu."
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe
"Nataka kukufahamisha kuhusu ‘Building a better tomorrow’ project Mradi huu uliopo hatua za mwanzo sisi wizara tutatenga fedha, kima cha chini 5B kwa kuanzia.
Kwasababu: Vijana hawaendi shambani na hawana motisha kuingia katika kilimo, changamoto za;
1) Upatikanaji wa Mtaji fedha
2) Upatikanaji wa Ardhi
3) Teknolojia
4) Masoko ya uhakika
Manbo haya yote huwakwamisha vijana na watanzania wengi wenye ndoto za kufanya kilimo Kikubwa na chenye tija.
Kwahivyo tumeamua kutengeneza maeneo Maalum ya kilimo (agricultural parks), maeneo haya yatafanyiwa vipimo (soil analysis etc) na upembuzi. Pia tutapeleka miundombinu ya maji na barabara. Baada ya kuweka vyote tutakata vipande shamba (block farms) ambazo tutawakabidhi vijana ambao watapatikana kwa programu maalumu yenye vigezo vya kukidhi.
Rai yangu kwa wadau wa maendeleo tutawafuata kuwaomba fedha tuchange pamoja.
Na lengo letu la msingi ni kuwapatia vijana mitaji hai na yenye tija. Kuanzia kwenye ardhi ambako tutaweka mifumo imara ya umwangiliaji, kuwafunda ukulima bora, tutawasaidia mbegu bora na mbolea ili wazalishe.
Hata hivyo tutawaunganisha vijana hawa na masoko kwajili ya mazao yao.
Jambo la msingi kwakua nia yetu na jambo hili lina tija kubwa hivyo Ardhi na fedha zote tutazitenga, na tutahakikisha tunawasaidia vijana hawa kutumia teknolojia za kisasa na mashine za kisasa za kilimo huku maeneo yote yakiunganishwa na mifumo rasmi ya wanunuzi (Offtakers).
Kwa kuwa na kilimo cha kisasa katika nchinyetu tutaongeza sio tu uzalishaji na ubora wa mazao yetu ili tutapunguza tatizo la ajira, tutahamasisha ushiriki wa vijana wengi kwenye kilimo na kujenga Uchumi endelevu wa nchi yetu."
Waziri wa Kilimo Hussein Bashe