"Tunaanzisha vituo vya huduma ya pamoja katika maeneo ya Nyanda za juu kusini, katika mpaka wa Namanga pamoja na Dar es Salaam. Uanzishwaji wa vituo hivi unalenga vituo hivi unalenga katika kuongeza thamani ya bidhaa zetu za Tanzania na kuzipa hadhi katika masoko ya kimataifa ikiwa ni pamoja na kutambulisha mahala zinakotoka bidhaa zetu.”
Vituo hivi vitakua na uwezo wa kutoa huduma za ukaguzi, kupanga, Kufungasha na kuhifadhi huku bidhaa zote za kilimo zikiwa na chapa halali ya “Imezalishwa nchini Tanzania”
Hussein Mohammed Bashe
Waziri wa Kilimo
Vituo hivi vitakua na uwezo wa kutoa huduma za ukaguzi, kupanga, Kufungasha na kuhifadhi huku bidhaa zote za kilimo zikiwa na chapa halali ya “Imezalishwa nchini Tanzania”
Hussein Mohammed Bashe
Waziri wa Kilimo