Hii nchi sitashangaa ukiambiwa gharama ya kulipia hayo mambo ukajiuliza kwanini nishukue tu marker pen na kuandika Imezalishwa Tanzania
Alafu sababu hawajafanyia market ya kutosha hizo products zao huenda imezalishwa Tanzania ikawa ni disadvantage...
Kwa kuwasaidia wadau aongee na wizara ya biashara n.k. kusaidia hawa watu kupata masoko...., na hilo lingefanyika jana sio leo wala kesho