Waziri Bashe: Upatikanaji wa Sukari hauhusiani na masuala ya Kidini

Waziri Bashe: Upatikanaji wa Sukari hauhusiani na masuala ya Kidini

Kwanza nianze kusema nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Mh.Bashe alitamka maneno yale kwa lengo la ubaguzi wa kidini na pia naamini hakutamka kimakosa.

Na pia naamini kuwa Mh. Bashe hawezi kujua kuwa wakristo wapo ktk mfungo kwa kuwa sio tamaduni zao kutangaza wafungapo.
Wakristo wanafunga nyakati nyingi tuu tena kwa walio na imani sukari sio kipaumbele Chao kwa kuwa hata chumvi tuu na uji au maji ya moto yanatosha kwa aliye funga kwa imani na ndio maana pamoja na uhaba wa sukari huwezi sikia mkristo akilalama kwa kuwa kufunga sio starehe kwa wakristo.

Siamini pia utatuzi wa uhaba wa sukari unalengo la kuwanufaisha waislamu. Waislamu wanamatatizo mengi kama raia wengine tunaishi wote huku mtaani. Wapo wanao kufa kwa kukosa huduma bora za kimatibabu au fedha je hao mfungo ni muhimu kwao kuliko uhai wao wakati huu?

Wakati huu vyakula vimepanda bei na mfungo ukianza tuu bei hupanda zaidi, huku uhaba wa umeme, maji, ajira nk. Je matatizo haya Waislamu hayawahusu wakati wa mfungo? Au yatatatuliwa mfungo gani?

Mh.Bashe alipokuwa anasema kuhusu lini tatizo la sukari litaisha awali alieleza vizuri kuwa katikati ya mwezi wa tatu hakuweka neno mfungo. Neno mfungo ameliweka baada ya kurudia kuonesha msisitizo ndio maana nasema hakulisema kimakosa alikusudia.

Kwa sisi tulio somea maana za maana yaani [ Themantics] kule Cuba tunapata maana kuwa lengo la kauli ile ni kujipatia uungwaji mkono miongoni mwa makundi ya kijamii yaani cheap popularity] kuonesha kuwa upo karibu nao na unajali mambo ya maisha yao.

Nikiongea kwa mifano ni kuwa Magufuli aliwahi changisha kanisani michango ili kujenga Msikiti Dodoma. Angefanya hivi muislamu ingekuwa ni habari kubwa kwa katiba gani Rais anahusika na ujenzi wa misikiti na makanisa?

Kwa bahati mbaya kauli ya Bashe imekuja wakati mbaya. Hata kama angesema tatizo litaisha kabla ya sherehe za Pasaka wenye akili bado tungesema ni unafiki tuu na kutaka cheap popularity kwani Pasaka inamuhusu nini yeye.
Maendeleo hayana vyamaa
 
Kwanza nianze kusema nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Mh.Bashe alitamka maneno yale kwa lengo la ubaguzi wa kidini na pia naamini hakutamka kimakosa.

Na pia naamini kuwa Mh. Bashe hawezi kujua kuwa wakristo wapo ktk mfungo kwa kuwa sio tamaduni zao kutangaza wafungapo.
Wakristo wanafunga nyakati nyingi tuu tena kwa walio na imani sukari sio kipaumbele Chao kwa kuwa hata chumvi tuu na uji au maji ya moto yanatosha kwa aliye funga kwa imani na ndio maana pamoja na uhaba wa sukari huwezi sikia mkristo akilalama kwa kuwa kufunga sio starehe kwa wakristo.

Siamini pia utatuzi wa uhaba wa sukari unalengo la kuwanufaisha waislamu. Waislamu wanamatatizo mengi kama raia wengine tunaishi wote huku mtaani. Wapo wanao kufa kwa kukosa huduma bora za kimatibabu au fedha je hao mfungo ni muhimu kwao kuliko uhai wao wakati huu?

Wakati huu vyakula vimepanda bei na mfungo ukianza tuu bei hupanda zaidi, huku uhaba wa umeme, maji, ajira nk. Je matatizo haya Waislamu hayawahusu wakati wa mfungo? Au yatatatuliwa mfungo gani?

Mh.Bashe alipokuwa anasema kuhusu lini tatizo la sukari litaisha awali alieleza vizuri kuwa katikati ya mwezi wa tatu hakuweka neno mfungo. Neno mfungo ameliweka baada ya kurudia kuonesha msisitizo ndio maana nasema hakulisema kimakosa alikusudia.

Kwa sisi tulio somea maana za maana yaani [ Themantics] kule Cuba tunapata maana kuwa lengo la kauli ile ni kujipatia uungwaji mkono miongoni mwa makundi ya kijamii yaani cheap popularity] kuonesha kuwa upo karibu nao na unajali mambo ya maisha yao.

Nikiongea kwa mifano ni kuwa Magufuli aliwahi changisha kanisani michango ili kujenga Msikiti Dodoma. Angefanya hivi muislamu ingekuwa ni habari kubwa kwa katiba gani Rais anahusika na ujenzi wa misikiti na makanisa?

Kwa bahati mbaya kauli ya Bashe imekuja wakati mbaya. Hata kama angesema tatizo litaisha kabla ya sherehe za Pasaka wenye akili bado tungesema ni unafiki tuu na kutaka cheap popularity kwani Pasaka inamuhusu nini yeye.
Maendeleo hayana vyamaa
Kwa sehemu kubwa wakristo hawafungi kula na funga ya wakristo imetawaliwa na usiri mkubwa na ni jambo la kibinafsi zaidi.. Kushinda njaa ni nyongeza tuu kwa Mkristo kwenye dhana nzima ya kufunga
 
Kwa sehemu kubwa wakristo hawafungi kula na funga ya wakristo imetawaliwa na usiri mkubwa na ni jambo la kibinafsi zaidi.. Kushinda njaa ni nyongeza tuu kwa Mkristo kwenye dhana nzima ya kufunga
Mfungapo msiwe kama wanafiki wenye Nyuso za Kukunjamana 😂
 
Kwa jinsi ulivyoelezea ni kwamba Bashe hajakosea chochote ila sisi tumemtafsiri vibaya

Sasa msamaha unamuambia aombe wa nini?
Kuomba msamaha sio lazima wewe uhisi kuwa ulilenga kumkosea mtu fulani.Lakini pamoja na dhamira yako njema unaweza kuona kuna watu hawaja kuelewa na wanaonekana wamekwazwa.
Ndio maana watu hujihudhuru kwa makosa ya watu wengine.
 
Kuomba msamaha sio lazima wewe uhisi kuwa ulilenga kumkosea mtu fulani.Lakini pamoja na dhamira yako njema unaweza kuona kuna watu hawaja kuelewa na wanaonekana wamekwazwa.
Ndio maana watu hujihudhuru kwa makosa ya watu wengine.
Kwani Mwezi wa Ramadan kwa kigalatia unaitwaje?
 
Kwa sehemu kubwa wakristo hawafungi kula na funga ya wakristo imetawaliwa na usiri mkubwa na ni jambo la kibinafsi zaidi.. Kushinda njaa ni nyongeza tuu kwa Mkristo kwenye dhana nzima ya kufunga
TAG walikuwa na mfungu wa siku 28 wala hawajatangaza na kulalamika ila sisi maustadhi tunautangaza sana mwezi mtukufu wa ramadhani ilihali ukiisha tunaendelea na maasi.
 
Solution ni kupiga marufuku dini za Ibrahim nchini, zimetuletea ujinga mwingi kuliko faida.

Sijawahi kuwasikia Buddha wala Hindu wakileta ulalamishi wa kuona wametengwa, wanaendesha mambo Yao Kwa ustaarabu wa Hali ya juu, kuna sikukuu Yao wengine inaitwa Ashura huwa wanaomba kibali kabisa cha kupiga mafataki.
Nani alikwambia dini ni Mungu?
 
Kandamiza hapo hapo Bashe, hakuna kuleta sukari mpaka mfungo uanze, hawa wagalatia walafi mno wataimaliza muda si mrefu, maana wameshoboka kweli na sukari utadhani ndio oksijeni
 
Waswahili kwa kunukuu neno moja hamjambo
Mtabaki masikini maishani mwenu,
Sasa badala ya kumhoji kwanini sukari mpaka inaadimika mmetulia tu na kwanini msiagize miezi kadhaa iliyopita mpaka inapanda kiasi hicho

Mmeelekeza mashambulizi ya Dini utafikiri ndio tatizo limeisha au ndio majibu
Muwe na siku njema
 
Aache udini, kwanini hivi vibali havikutolewa kabla hadi inapokaribia huo mfungo? Aache udini!
 
Solution ni kupiga marufuku dini za Ibrahim nchini, zimetuletea ujinga mwingi kuliko faida.

Sijawahi kuwasikia Buddha wala Hindu wakileta ulalamishi wa kuona wametengwa, wanaendesha mambo Yao Kwa ustaarabu wa Hali ya juu, kuna sikukuu Yao wengine inaitwa Ashura huwa wanaomba kibali kabisa cha kupiga mafataki.
Shida ni population share yao hapa ni ndogo., nenda Asia uone Hindu (Indians) na Pakistam (Muslims); kila siku ni mizozo
 
Back
Top Bottom