Waziri Bashungwa akabidhi magari matatu ya Zimamoto yaliyotengenezwa Tanzania, asema "Inawezekana majirani waje kununua magari Tanzania"

Watengeneze mavieite ili waokoe Bilion 500 kwa mwaka.

Leo asubuhi nimeziona v8 latest model zina plate number za JW zimetoka Toyota pale Pugu road
 
Scania iliwahi kuwa na kiwanda cha kuunganisha magari yake pale Kibaha. Iweje sasa Tanzania itengeneze gari la zimamoto liitwalo Nyumbu lakini nembo ya Scania?

Hivi waandishi wa habari huwa mnachapisha kila kitu bila hata kuchunguza?.... 😯 Huu si ndio ukanjanja tena hadharani🤔
 
Hizo ni scania acheni uongo na upotoshashaji
 
Khna watu sjui ni vizazi vya ngapi humu,Moshi kuna kiwanda cha cocacola,Mwanza kuna kiwanda cha Pepsi,hii inawezekanaje?
 
Ninyi wenyewe hamjajitishea mnataka wanunuzi.
Mambo gani hii.
Hizi 3 zenyewe utakuta ni nguvu kubwa na presha kutoka juu ndio zikakamilika,halafu wanataka waanze kuuza,usanii tu
 
Watengeneze mavieite ili waokoe Bilion 500 kwa mwaka.

Leo asubuhi nimeziona v8 latest model zina plate number za JW zimetoka Toyota pale Pugu road
Yameunganishwa Kibaha Tanzania, Scania haitengenezwi Tanzania.
 
CAG kataja haya magari kwenye ripoti yake
 
Mbona kichwa kimeandikwa SCANIA badala ya NYUMBU?🙄🙄🙄
 
Tofautisha kutengeneza na kuunganisha ....hiyo unasoma kabisa ni scania kwa hiyo hawajatengeneza bali wameunganisha tu parts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…