Hii nchi tunashindwa tuiweke kundi gani, kundi la masikini au tajiri?
hivi huu ufujaji wa hela mnauelewa kweli yaaani stars kushinda mechi moja tu hata bado haijafudhu waziri anatoa hela anagawa kwanini usitoe zako mfukoni,
haya mambo ndio yanafanya tuendelee kukwepa kodi na tozo