Huyu dogo bomu. Alipata uwaziri kwa kumsujudia mwendazake vinginevyo hafai kuwa hata mkuu wa kata.View attachment 1928433
Hii nchi tunashindwa tuiweke kundi gani, kundi la masikini au tajiri?
hivi huu ufujaji wa hela mnauelewa kweli yaaani stars kushinda mechi moja tu hata bado haijafudhu waziri anatoa hela anagawa kwanini usitoe zako mfukoni,
haya mambo ndio yanafanya tuendelee kukwepa kodi na tozo
hawajaingiza hata hamsini mbovuKwani zimetoka wapi ?, Mfuko gani ?
Pili squad ina wachezaji wangapi? Unaweza ukakuta hio pesa kwa waliotoka zao nje ni pesa ya mboga..., Yaani sio Big Deal.
Tatu leo wameliingizia ngapi Taifa ?
Anawatia moyo wasonge mbele jamaniView attachment 1928433
Hii nchi tunashindwa tuiweke kundi gani, kundi la masikini au tajiri?
hivi huu ufujaji wa hela mnauelewa kweli yaaani stars kushinda mechi moja tu hata bado haijafudhu waziri anatoa hela anagawa kwanini usitoe zako mfukoni,
haya mambo ndio yanafanya tuendelee kukwepa kodi na tozo
Anawatia moyo wasonge mbele jamani
awekwe ndani masaa 48Anawatia moyo wasonge mbele jamani
hebu acha akili ya kimasikini bhana...milioni 10 ni fedha ya kawaida sana kupewa timu ya taifa tena iliyo shinda mchezo, sio kila kitu cha kulalamika vingine potezea mkuuView attachment 1928433
Hii nchi tunashindwa tuiweke kundi gani, kundi la masikini au tajiri?
hivi huu ufujaji wa hela mnauelewa kweli yaaani stars kushinda mechi moja tu hata bado haijafudhu waziri anatoa hela anagawa kwanini usitoe zako mfukoni,
haya mambo ndio yanafanya tuendelee kukwepa kodi na tozo