Waziri Bashungwa jiuzulu kuepuka laana inayomnyemelea Dkt. Hassan Abbas

Waziri Bashungwa jiuzulu kuepuka laana inayomnyemelea Dkt. Hassan Abbas

Huyo wakwanza amekata tamaa,povu la mapambio limeisha.
Kungali mapema mno.

Hebu vuta subira kidogo mkuu 'mdudu', kabla ya kufikia hitimisho la aina hiyo; maana ngwe ya pili ndiyo hiyo inaanza sasa na teuzi bado ni nyingi; na nafasi za kutumbuliwa bado zinapangwa. Usione kimya ukadhani hakuna linalofanyika huko Chatu.

Litakuwa ni jambo la kushangaza na kusikitisha kwa pamoja endapo kama huyu jamaa atasahaulika, asikumbukwe hata hata kuteuliwa kushika kacheo ka-'u-DC" tu kama akina Mtatiro!
 
Hivi huyo uliyemtaja hapo (wa kwanza) kishapata uteuzi popote?

Kateuliwa kimya kimya kufanya kazi maalum, ambayo ndiyo huenda inamfanya asionekane huku akijaza magazeti (makala zake ndefu zisizo na mwelekeo) humu?

Apate wapi, anapanga mapambio tu kila siku lakini ana nyota ya giza.
 
Hata Rais wa Marekani Bw. Trump amefungiwa kwenye socia media zote!! Sasa sijui nao huko maulaya wana laana???
Hivi huyo jamaa hana polisi, mbona anasumbuliwa hivyo?

Kwa nini asije hapa kupata semina ya siku saba tu na wote wanaomzodoa atawanyoosha!
 
Siku nyingine soma Kwanza habari yote uielewe,mtoa mada hakuna sehemu ambayo amesema waziri ajiuziru
Hivi wewe uliyesoma habari yote, hukusoma kichwa cha mada kinasemaje?

Ngoja nikusaidie, kinasema hivi: " Waziri Bashungwa jiuzulu kuepuka laana..."
 
Back
Top Bottom