Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Yaan hajawahi kufit kwakweli...Bora Yule talkative mhaya mzee wa cherehaniHivi huyo Bashungwa ilikuaje akapewa hayo mamlaka.!!?
Kapwaya mno.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaan hajawahi kufit kwakweli...Bora Yule talkative mhaya mzee wa cherehaniHivi huyo Bashungwa ilikuaje akapewa hayo mamlaka.!!?
Kapwaya mno.
Labda Inahusika na kuhesabu Vyerehani iliWizara ya viwanda na biashara inahusika na mafuta?? Hebu nielewesheni?
Naam! Chato moja.Ok yule MBUNGE wa taifa?
Naam! Chato moja.
Mkuu jenga Sheri tu ukalete mafuta..maana wakulima wa Mahindi walipewa Uhuru kua wauze bei kubwa na kuwapiga wanunuzi....Kuna hujuma kwenye mafuta. Nimetembea vituo kibao hakuna mafuta nimekuja kupata Boko magengeni.
Kama tatizo ni Magufuri hakuna namnaWanatafuta mchawi kumbe Tatizo wanajua ni nani. Tatizo ni magufuli
Waandishi wa habari ni kanyabwoya, wao wanajua kufuatilia habari za wasanii tu. Yanayohusu jamii hawapo kabisaHili sakata la mafuta tangia lianze mpaka kukamatwa kwa wakurugenzi ni upande wa wauzaji tu ndio wanalaumiwa.
Kwanini waandishi wa habari awaendi kuzungumza na suppliers kujua changamoto walizonazo na wao.
Ukishapata argument za pande mbili ndio uitimishe nani ni tatizo. Taasisi za serikali zinatabia za kutoka lawama kwa wafanyabiashara ata pale ambapo wao wanapokuwa source of the problem.
Tujizoeshe utamaduni wa kushutumu au kuhitimisha vitu based on evidence/arguments presented by both sides.
MIMI UKANA SHILUNGO NIPO MNAZI MMOJA (LINDI)NAKULA BALIMI ZANGU ,STATION MBILI HAZINA MAFUTA YA TATU KWENDA NGONGO KUNA MAFUTA.NIMEREFILL 2 HOURS AGO, ITANIFIKISHA KILWA MASOKO NAKELEKEA KIFUPI KUNA MAGUMASHI FUEL VENDOR WANATAKA SUPER PROFITMkuu siyo hapa dar tu leo hii nina rafiki yangu yupo mkoani mtwara anasema amekwama wilaya moja ya mkoa huo hakuna kabisa petrol
Hongera sana mzee kwa kupiga hizo balimiMIMI UKANA SHILUNGO NIPO MNAZI MMOJA (LINDI)NAKULA BALIMI ZANGU ,STATION MBILI HAZINA MAFUTA YA TATU KWENDA NGONGO KUNA MAFUTA.NIMEREFILL 2 HOURS AGO, ITANIFIKISHA KILWA MASOKO NAKELEKEA KIFUPI KUNA MAGUMASHI FUEL VENDOR WANATAKA SUPER PROFIT