Waziri Bashungwa unakwama wapi? Wafanyabiashara wa mafuta hawawezi kuichezea Serikali hivi

Waziri Bashungwa unakwama wapi? Wafanyabiashara wa mafuta hawawezi kuichezea Serikali hivi

Hili somo ndilo tunatakiwa tupewe, kwanza tulishazoea mafutab ya 2200 hawa wakapunguza mpaka 1500 tukiwa 2200 haya matatizo hayakuwepo basis bora turudi kama zamani lakini tuyapate, mafuta hatuchimbi wenyewe hatuwezi jipangia huo ndio ukweli. Lakini mbona kituo cha boko magengeni hayajawahi kuisha? Wanayapata wapo?
Kuelewa kinachoendelea ni jukumu la EWURA, wizara kutoa maelezo au vyombo vya habari; ni kwa sababu hakuna communication kutoka kwa hao wahusika inabidi wananchi wenyewe tuanze kujiuliza na kujazia majibu kama tunavyofanya kwenye hii mada (the conclusion might not be certain).

Soma post number #61 utaona kwenye hiyo habari tatizo la refineries za US kwenye post #52 ndio hilo hilo la Asians refiniries na most chances huko ndio tunapoagiza mafuta.

Refiners wote wanadai kutokana na low demand ya mafuta duniani imebidi Saudi Arabia washushe bei wao wenyewe ya Crude Oil (without market forces) kuwasaidia refiniries ili wapunguze hasara, maana yake nini low demand + plus fixed costs za kusafisha mafuta; refiniries ata wasiposhusha bei pamoja na kwamba wananunua rahisi bado wanatengeneza hasara au margin zao ni ndogo sana.

Ndio maana wameomba Saudi Arabia washushe bei walau waweze pata faida aina maana wao kushushiwa bei na wao watapunguza kwa suppliers maana awauzi sana kwa ivyo logic ni kwamba itawasaidia kupunguza production costs tu kwa sasa.

Ndio maana kunasababu ya kufanya uchunguzi badala ya kusikiliza malalamiko ya upande mmoja.

Hiko kituo cha mafuta cha Boko siwezi elewa labda kina reserve kubwa ya tank, volumes za watumiaji sio sana or whatever the case hilo swala atakuwa analijua manager wa kituo; I am only speaking generally.
 
Kalemani has failed to lead the ministry kabisa, hili suala la mafuta wanamchezea chezea tu na waziri yupo na sio kipofu wala kiziwi, juzi 1 Aug 2030 pia nilikuwa na drive from Morogoro, petrol stations kibao hakuna mafuta, eg Puma, Lake Oil, Total, Camel, tukaja pata mafuta ATN, yaani tena kama Oil Com Moro nzima eti wanafanya renovations yote ni sabotage, Waziri Kalemani must act strictly, haya makampuni ya mafuta wakisikia tu bei imepungua wanaanza uhuni, wanaficha mafuta, ila wakisikia bei imepanda immediately wanapandisha bei, ila kushusha hawataki kabisa.. Kalemani inafaa akomae nao
 
Hii ndiyo sababu ninaunga mkono mpango wa serikali kuja na vituo vyake vya mafuta ili uchumi usiwe unayumbishwa yumbishwa na watu kadhaa tu wanaomiliki vituo vya mafuta. Ikiwa vituo vya serikali vitakuwa na mtandao mpana kama walivyopanga, bila kujalisha kiwango cha huduma, huu upuuzi haitakuwepo.
Taja biashara yeyote ambayo serikali imeifanya ikadumu atleast miaka mitatu
 
Kuelewa kinachoendelea ni jukumu la EWURA, wizara kutoa maelezo au vyombo vya habari; ni kwa sababu hakuna communication kutoka kwa hao wahusika inabidi wananchi wenyewe tuanze kujiuliza na kujazia majibu kama tunavyofanya kwenye hii mada (the conclusion might not be certain).

Soma post number #61 utaona kwenye hiyo habari tatizo la refineries za US kwenye post #52 ndio hilo hilo la Asians refiniries na most chances huko ndio tunapoagiza mafuta.

Refiners wote wanadai kutokana na low demand ya mafuta duniani imebidi Saudi Arabia washushe bei wao wenyewe ya Crude Oil (without market forces) kuwasaidia refiniries ili wapunguze hasara, maana yake nini low demand + plus fixed costs za kusafisha mafuta; refiniries ata wasiposhusha bei pamoja na kwamba wananunua rahisi bado wanatengeneza hasara au margin zao ni ndogo sana.

Ndio maana wameomba Saudi Arabia washushe bei walau waweze pata faida aina maana wao kushushiwa bei na wao watapunguza kwa suppliers maana awauzi sana kwa ivyo logic ni kwamba itawasaidia kupunguza production costs tu kwa sasa.

Ndio maana kunasababu ya kufanya uchunguzi badala ya kusikiliza malalamiko ya upande mmoja.

Hiko kituo cha mafuta cha Boko siwezi elewa labda kina reserve kubwa ya tank, volumes za watumiaji sio sana or whatever the case hilo swala atakuwa analijua manager wa kituo; I am only speaking generally.
Kwa maeleo hata naona unaeeza kuwasaidiabawa EURA uenda ni mbumbumbu na Mawaziri wa serikali nao mbumbu au wanalinda vituo vyao
 
Wametetea ushoga wapi na lini??? Mmeishiwa propaganda hadi mnakimbilia huku?
Aaah mnajifanya hamnazo eeh..Hata matamshi ya mgombea wenu wa urais hamjayasikia. .sawa..
Hata misingi na mashirikiano kati ya chadema na chama cha Waliberari cha wazungu hamyajui. ..ile misingi ya kutetea biashara za kishoga
 
Aaah mnajifanya hamnazo eeh..Hata matamshi ya mgombea wenu wa urais hamjayasikia. .sawa..
Hata misingi na mashirikiano kati ya chadema na chama cha Waliberari cha wazungu hamyajui. ..ile misingi ya kutetea biashara za kishoga
Tupe uthibitisho! Mbona maneno mengi kijana?
 
Hili ndilo linaitikisa mara kwa mara serikali.Majerata chali.
 
Sana JF.

Wafanyabiashara ya mafuta ni dhahili kwamba Serikali kuoitia waziri wake pamoja na taasisi yake EWURA wameshindwa kutimiza wajibu wake, Dar sasa haina mafuta, ikitokea la kutokea mji mzima hakuna mafuta. Bagamoyo road yote karibu Sheri nyingi zimegoma kuleta mafuta.

Watanzania wengi wanamaisha mabaya wana mafuta ya kubipu wale wenye robo tank macho yanawatoka Pima maana kila uendapo kituoni unaonyeshwa mikono tu kuwa hawana mafuta.

Hawa jamaa ni wajanja sana, wao wameamua kugoma wafanyakazi wao wapo kazini lakini wanakwambia hakuna mafuta yapata wiki.

Kiburi cha wafanya biashara safari hii kimeiumbua serikali. Kama wanataka bei kufika elfu2000 basis watangaze au Serikali ikubali kuwashindwa watangaze bei watakayo. Ili nao wafanane na wakulima wanavyojitangazia bei Y
Bashungwa yuko busy jimboni kusaka kura..
Nyie andikeni ipite hivii.
Mimi kutoka rohoni huwa sioni maana kbisa ya hizi taasisi za kuregulate vitu. EWURA, sijui LATRA, TIRA, sioni maana yake zaidi ya kumuongezea mlaji wa mwisho mzigo. Hivi mbona wafnya biashara ya nguo, magari, nk wanaenda nje kununua hivyo vitu na kuweka marginyao ya faida na kuuza na tuna nunua bila malalamiko? Kuna taasisi nyingi sana serikali ina bidi kuangalia uwezekano wa kuzifuta. Kwa maslahi ya end user.. Huwezi sema kuna regulatory board ya nishati halafu mafuta hakuna na wana toa sababu za ajabu..
 
Back
Top Bottom