Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna dalili za kukesha bila umemeDahh!
Safari sio fupi aisee!
Siku 3 karibia taasisi kubwa zote ,kila sikuu watu wanaondoka tena kama hii pasaka imekaa poa ,mtu kaondoka Alhamisi anarudi jumanne au j5 .Watu mna siri sana kumbe kuna likizo ya pasaka na hamsemi!
Namshukuru sana mama kwa kunifumbua akili.
Nchi ya maziwa na asali,watu wanaenjoy tuSiku 3 karibia taasisi kubwa zote ,kila sikuu watu wanaondoka tena kama hii pasaka imekaa poa ,mtu kaondoka Alhamisi anarudi jumanne au j5 .
Tena wanapata na festival allowance package kwa taasisi kubwa ..
Siku jua kama sida ni kubwa kiasi hiki, kama sio hujuma ni bahati mbaya ya aina yake.Kuna dalili za kukesha bila umeme
Inafikirisha sanaSiku jua kama sida ni kubwa kiasi hiki, kama sio hujuma ni bahati mbaya ya aina yake.
Hapo wakikubali hizo bei za majenereta sasa. Achatu ngoma iwe hivihiviBiteko ni kwanini tusiwe na System ya Backup Generators kila Mkoa na Wilaya?
Hawa Wawekezaji si wataikimbia hii Nchi kweli.
Ile allowance ndio inawapa jeuri ya kusafiri ,wengi wanapata range ya 250k mpaka 400k baadhi ya taasisi ..Mtu kapata nauli ya ndege hapo 😅Nchi ya maziwa na asali,watu wanaenjoy tu
Mikwara Mbuzi. Ili tuone serekali imefanya Jambo. Fisiemu is a failed state hawa inatakiwa tuwaondoe kwenye sanduku la kura 2025.