TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia


bbc wametangaza mwili utaletwa jumamosi
 
Mungu awape nguvu na faraja ndugu jamaa na marafiki wa marehemu. Poleni sana wafiwa. Roho ya marehemu ipumzike kwa amani.
 
Pumzika salama mama! unatukumbusha kwamba binadamu hatupaswi kujisahau hasa kwenye mambo nyeti ya kitaifa kama katiba mpya! Poleni wafiwa.
 
Watanzania akili zetu zimeingiliwa na kitu gani lakini? Hapa tumeletewa tanzia ya kifo ya Mtanzania mwenzetu,badala ya kuhungana na kumuombea apumzike kwa amani peponi, sisi tunatanguliza masuala ya itikadi za vyama na kejeli juu, tunajisahau kabisa kuwa kila nafsi itaonja muhuti!! Huku kama sio kuchanganyikiwa ni nini?
 

Kitu cha ajabu sana, Uzi unazungumzia msiba watu wanaingiza na mitazamo yao.
 
Dah komba na kombani wote kutoka ccm wamefariki kabla ya kushuhudia mabadiriko tarehe 25 october, mungu awalaze mahali pema!!!! Amina
 
Jamani Celina pumzika kwa Amani.Tutakosa uzungumzaji wako wenye hisia bungeni.Poleni sana wa famili,pole sana Mh.Rais
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…