TANZIA Waziri Celina Ompeshi Kombani afariki dunia

Kampeni za CCM zinazoendelea wanaonyesha UNYANYAPAA mkubwa incase mtu ana hali ya ugonjwa, UZIMA,KIFO NA UGONJWA HAVIPO NDANI YA UWEZO WA MWANADAMU.
 
Alikuwa anatetea jimbo au kura hazikutosha kwenye maoni?
 
R.i.p. Mama kombaini, wafiwa wote poleni!!
Mungu awape uvumilivu na amani!!
 
R.I.P Mama Yetu, Dada yetu, tutakukumbuka siku zote.
 
Wengine wanauwawa watu wanapanda vyeo alafu hapa tunasema R.I.P!

Mnakejeli mnaowaona wagonjwa,mnasikitia marehemu!

Huu unafiki kwa mungu haupo.
 
R.I.P Mama Kombani,
Poleni sana wanafamilia,
Poleni Watanzania wote kwa ujumla.
 
Wengine wanauwawa watu wanapanda vyeo alafu baadhi tunasema R.I.P.

Mnakejeli wagonjwa,mnasikitia marehemu!

Huu unafiki kwa mungu haupo.

Kampeni za CCM zinazoendelea wanaonyesha UNYANYAPAA mkubwa incase mtu ana hali ya ugonjwa, UZIMA,KIFO NA UGONJWA HAVIPO NDANI YA UWEZO WA MWANADAMU.

"Bora Lowassa kaondoka CCM hajatufia aende akafie huko CDM....." By Celina Kombani.
 

mbona akiwa anaumwa hamsemi mpaka kaenda india mme kaakimya tanzania bwana
 
Usililie waliokufa ililie nafsi yako na walio hai.

Kama unalilia utu kwa marehemu si bora zaidi kwa walio hai?

Mjifunze kwa matusi na dhihaka mnayomfanyia Lowassa kama yana chembechembe za utu unaotaka tuufanye kwa marehemu.
 
R.I.P Kombani hatukuambiwa ukiwa mgonjwa unatibiwa india maombi yetu yangekuwa msaada pia Mbele yetu nyuma yako Mungu akupe pumziko la Amani
 
Jamani kumbe alikuwa anaumwa,nikajua ni Edo tu ndo mgonjwa.
R.I.P Mama Kombani mungu akuweke pale unapostahili,Ameni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…