Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasikitika Kuwapa taarifa ya kifo cha Waziri wetu, Celina Kombani kilichotokea huko India..
![]()
Celina Ompeshi Kombani (19 June 1959 - 24 September 2015) was a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Ulanga East constituency since 2005.
She was the Minister of State in the President's Office for Public Service Management.
Punguza mbwembwe
Kufa kufa tu unafiki wa nn MTU km hana huzuni c bac kwan cku MTU ukifa watu wakilialia au RIP nyingi zinasaidia nn
RIP Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi.
RIP Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi.
Duh..... poleni sana wanandugu na jamaa wa karibu na Marehemu.
Mungu amlaze mahali pema.
Dr Hivi kwanini umetukimbia kipindi tunakuhitaji zaidi...?RIP Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi.
RIP Mungu aiweke Roho yake mahali pema peponi.