Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 1,154
- 3,417
Muvina ataagike
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kusema kweli JF imeharibika sana, maana imevamiwa na watu wa fb, insta na vijiwe tu. Hakuna akili, maarifa wala utu!. Hapafai hapa kwa masuala yenye mantiki na weledi.Mkuu kwa hio kwa ufisadi huo ndio maana wakamuwahisha
Kama ni ufisadi ni wa baba yao watoto inawahusu nini?
Kwa hio kwakua tu ni mafisadi afya ya baba yao haiwahusu si ndio!?
Point mzeee, akili hii👏👏Ukiwasikiliza pande zote mbili ni utata.
Mfugale alifia ofisini kwenye kiti.
Hao hawajawahi kuuguza.
Aliyeuliza swali kwa wafanyakazi"Kimetokea nini"
Kwani nimebisha mkuu, me nimetoa tu maoni kimsingi hata mimi ningeweweseka japokuwa binafsi nimezaliwa mtoto wa 9 kwa hiyo wakati nakuwa baba yangu akishaenda umri vya kutosha kwa hiyo nilishajipanga kisaikolojia kutafuta bila kuweka utegemezi mkubwa kwake.hata ukiwa wewe utaweweseke usione kwa wenzako kama ni rahisi.
JPM, Kijazi, Mfugale, mwaka mgumu sana huu.
Daaaah!!!Ile ripoti ya sieijii
JPM, Kijazi, Mfugale, mwaka mgumu sana huu.
Ndugai, kabudi, bashiru
Yeye ni wa kwanza kufa ghafula?Kusema kweli JF imeharibika sana, maana imevamiwa na watu wa fb, insta na vijiwe tu. Hakuna akili, maarifa wala utu!. Hapafai hapa kwa masuala yenye mantiki na weledi.
Yule ni bilionea lazima aogopweSema Mfugale alikuwa na maguvu ya ajabu.. hadi kumwambia Waziri aahirishe kikao kisa yeye ana shughuli zingine ilikuwa sio poa. RIP
Alitoka kwenda kupumzika kwingineInashangaza mtu unaumwa watu wanaendelea na kikao hawana utu
Huduma ya kwanza maana yake nini"Katika kikao hicho majira ya saa nne, Mhandisi Mfugale alisema anajisikia vibaya na ndipo Katibu Mkuu akamueleza aende akapumzike katika ofisi jirani ambayo ni ofisi yake ili kikao kiendelee".
Mtu akijisikia vibaya si hupewa huduma ya kwanza na endapo hali ikizi kudhoofu si hulazimika kupelekwa hospitali!?
Alafu mnaenda kufanya ibada kila Ijumaa, Jumamosi au Jumapili mkiwa na mmevaa suit au kanzu kubwa kubwa.House Cleaning
Maalim seif nae alikuwa binadamu,umemtenga kisa?JPM, Kijazi, Mfugale, mwaka mgumu sana huu.
Kwani nae alikuwa inner circle ya mwendazake?Maalim seif nae alikuwa binadamu,umemtenga kisa?