JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Hali ya unyanyasaji wa Watoto Nchini imetajwa kuchangiwa na mmomonyoko wa maadili katika jamii, wengine wakisingizia hali ngumu ya kiuchumi inawafanya kutokuwa na muda wa kulinda na kutoa malezi chanya, ambapo asilimia 60 ya unyanyasaji wa Watoto unatokea nyumbani.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Doroth Gwajima amesema Watoto wanakosa maadili, kwa sababu hawatunzwi vizuri na wazazi.
“Inapotokea kuna mgogoro wa ndoa, wazazi wakitengana bila utaratibu wa kuzingatia malezi ya watoto, matokeo yake Watoto wanakimbilia mtaani,” - Dkt. Gwajima
Source: ITV
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. Doroth Gwajima amesema Watoto wanakosa maadili, kwa sababu hawatunzwi vizuri na wazazi.
“Inapotokea kuna mgogoro wa ndoa, wazazi wakitengana bila utaratibu wa kuzingatia malezi ya watoto, matokeo yake Watoto wanakimbilia mtaani,” - Dkt. Gwajima
Source: ITV