DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

DOKEZO Waziri Dkt. Gwajima, fanya yafuatayo ili kuwakomesha wahuni (beach boys) wote katika fukwe zetu za Dar es Salaam

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wewe mpuuzi huna ubavu wa kumjibu waziri wa nchi jinsi ulivyozoea kujibu kipumbavu pumbavu. Wewe una tofauti gani na magaidi kama hapa JF watu wanaandika comment kistaarabu ila wewe peke yako bila aibu unamrushia waziri maneno ya karaha? Wewe bibi ni mchawi na una roho mbaya sana. Nakuhakikishia kwenye hii serikali imara ya Tanzania utaishia tu kuteseka na roho yako mbaya.
Weka ushahidi.

Wewe kaa kimya, wewe ndiyo msemaji wake? Siku zote msema kweli anaonekana mkorofi. Hilo mbona linajulikana. Utakuta wewe ndiyo wale wale tu. Mawaziri mpaka Rais anasemwa hovyo humu, mlikuja kutetea hata siku moja? Kwa kuwa mnatoka mkoa mmoja basi yeye ndiye wa maana?

Bado, si yeye si wewed, hamjajibu hoja zangu. Naona mnajaribu kufanya "character assassination" badala ya kujibu hoja.

Hata yeye, badala ya kujibu hoja zangu, kaanza na kujidai, wewe una ajenda.

Ajenda mimi ya nini na ajenda hapa imeshwekwa na mwehu anayehiita GENTAMYCINE

Punguwani wahed.
 
1. Tangaza haraka Kuzuia vile Vijiwe vyote vya Kukodisha Mapira / Matairi ya Kuogelea

2. Kisha amrjsha wanaotaka Kufanya hiyo Biashara Kwanza wajisajili Kwenu (Serikalini) na wekeni Ada / Tozo Kubwa ili kama kuna Watakaojitokeza basi wawe ni Watu Serious na siyo hawa Wahuni walioko

3. Kwa kila atakayejitokeza mlazimisheni awape Picha zake na mjua Makazi yake na taratibu zingine za Kiusalama dhidi yao zifanyike kama njia ya Kuwadhibjti.

4. Kuwe na Chama chao Beach Boys ambacho Kitatambulika nanyi Mamlaka na walazimishenj Wanachama wao (nikimaanisha Vijana wao Wanaofundisha Watu Kuogelea Baharini) wawe ni Watu very Professional na Ethical pia

5. Serikali (Mamlaka) iweke Matangazo katika Beach zote (tena yawe Makubwa) kuwa Mabinti / Wanawake ambao watafanyiwa Ukatili huo wapige Simu upesi kwa Mamlaka zenu ili Wahusika wakamatwe.

6. Himizeni kwa Beach Goers Wote hasa Wanawake / Mabinti kuwa kama wanataka Kufundishwa Kuogelea na Beach Boys basi wawachukue wale ambao ni qualified na kutoka sehemu husika.

7. Beach Boys wote watakaowepo iwe ni AMRI lazima wawe na Vitambulisho na Uniform ili irahisishe hata Kujulikana mapema wakifanya huu Uhuni wao.

8. Katika Beach zote wekeni Eneo Maalum (ndani ya Maji) la Watu Kufundishwa Kuogelea kwani moja ya Mbinu Kubwa itumikayo na hawa Wahuni (Beach Boys) ni kwenda na Wahusika katika Directions ambazo hakuna Watu Wengi na kwenye Kina Kirefu kisha wanafanya huo Uhuni wao.

9. Mkazo uwekwe zaidi kwa Watu Kujifunza Kuogelea katka Vituo Maalum au Shule za Uogeleaji (hasa Swimming Pools) ili basi wakiwa wanaenda Baharini wawe ni Wajuzi na siyo Watafuta kujua Kuogelea ambako hukutana na hawa Wahun

10. Tungeni Adhabu Kali na isiyo na Huruma dhidi yao ili Kulimaliza hili tatizo na kuleta Nidhamu katika hayo Maeneo husika (Beaches)

11. Ili Kuwakamata tumieni huu Mtego wa kuwatafuta Mabinti (Wanawake) Watatu tu ambao wanajua kweli Kuogelea au mkiweza Wachukueni wa pale Navy Kigamboni kisha Wapandikizeni katika kila Beach.

Wakiwa huko Wahimizeni wajifanye hawajui kabisa Kuogelea kisha wavalie Nguo za Kutamanisha na wawe Wanajibebjsha kwa hao Beach Boys.

Wakati mnapanga hili pia mnawapanga Watu (huku nchi Kavu) wakiwa na Camera za Ujasusi wanawachukua ili kuwa na Ushahidi very Vivid ambao hawataweza Kuruka.

Pia hakikisheni mnawatafuta Wavivu na Mitumbwi yao ili wakati mnazifanya hizi Oparesheni nao Wawe wanajifanya kama vile wako Baharini wanaendelea na Shughuli zao za Uvuvi.

Kisha hawa Mabinti / Wanawake ambao mtawapanga Wajirahisi kwa Beach Boys (ambao napendekeza lazima Wawe ni Wajuzi wa Kuogelea hasa) mtawaambia wakishaingia tu kwenye Maji na kupelekwa Maji Marefu na kuanza Kuombwa Ngono au kutaka Kubakwa upesi sana watoe Ishara kwa wale Wavivu mtakaowapanga watakaokuwa Eneo Jirani na kwa Askari wengine ambao mtakuwa mmewapanga huku nchi Kavu.

Mkishawakamata hawa Wachache watataja Mtandao wao Wote na Kutajana (huku mkiruhusu na Sisi Raia tuwatje Adabu kidogo kwa Vipigo vya kishalubela) pale pale Baharini ili kutoa Signal kwa Wenzao wengine kuwa sasa Serikali kwa Kushirikiana na Raia Wema (akina GENTAMYCINE) mmeamua / tumeamua Kuwadhibjti.

Na baada ya hapo tu mnaondoka nao kwenda Polisi ili kuanza taratibu zingine za Kisheria ila naomba Adhabu ya Viboko ama 6 au 12 isikosekane na Kifungo kirefu

12. Na katika Vijiwe vyao vyote hao Beach Boys huko Baharini baada ya Kuwasajili Kisheria kama nilivyoshauri hapo mwanzoni pia himizeni / lazimisheni kila Kijiwe kiwe na Utambulisho wa Namba na Jina Kubwa lililoandikwa

13. Ikiwapendeza himizeni / lazimisheni kila Binti / Mwanamke aendae Kuogelea Baharini aende na Pila / Tairi lake kutoka Kwao / Kwake kwani Wengi Wao wakati Mwingine hujikuta wanajngia Majaribuni hadi Kulalwa kwa Kukosa tu Vifaa hivi.

14. Tangazeni kabisa Binti / Mwanamke ambaye kwa Upumbavu na Uwoga wake bila kusahau Tamaa zake za Mwili akikubaliana na huu Uhuni wa hawa Wahuni Beach Boys na likampata la Kumpata asije Kulaumu Mtu au Serikali

15. Mwisho tengezeni Vipindi Maalum katika Redio na Television vya Kutoa Elimu na Kuonya juu ya Ukatii huu mkubwa huku mkihimiza kila Beach Goer (Mpenda kwenda Kutembea Baharini) awe ni Mlinzi wa Mwenzake pasipo kujali ni Ndugu yako au si Ndugu yako

Ni haya tu Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D nakuomba yafanyie Kazi yote na GENTAMYCINE nakuhakikishia hapa hapa JamiiForums kuwa Tatizo hili utalimaliza na Kuokoa wengi.

Nimekuheshimu sana kwakuwa navutiwa na Utendaji wako mzuri wa Ushirikishaji wa Wadau na nakuahidi kukupa Ushirikiano zaidi kwa Mambo / Masuala mengine ya Kijamii ukihitaji kwani 97% ya Maisha yangu ya kila Siku ni kuwa na Jamii na kuwa na Uwezo mkubwa wa Kuchunguza Jambo, Kulifuatilia, Kulijua, Kulirekodi katika Ubongo wangu, Kulikabili Kifikra na Kimatendo na kutoa Suluhisho la Dharula, la Kati na la Kudumu.

Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D tafadhali kama utakuwa na Zawadi yoyote ile Kwangu GENTAMYCINE (itakayokupendeza) kwa hiki nilichokuandikia hapa basi utakitangaza hapa hapa JamiiForums kisha utaipeleka katika Ofisi za JamiiForums Kawe Avocado na utampa JamiiForums Founder Mtani wangu wa Kihaya na Kaka Maxence Melo na yeye atajua wapi atanipata na Kuiwasilisha Kwangu kwa Niaba yako.

Na nikutoe Hofu Dada (Mheshimiwa Waziri Dkt. Gwajima D) hata kama hutonipa Zawadi yoyote ile bado nakuhakikishia nitaendelea kukupa Ushirikiano wangu mkubwa bila Kinyongo na Usununu.

Kila la Kheri Mheshimiwa

Tupo pamoja.

Akhsante.

Wako GENTAMYCINE Nahodha wa Kudumu wa wana JamiiForums wote duniani.
Sasa hapa ndo umekua charismatic fella sio falaaaaaa!
 
Mkiyataka hayo nendeni beach ambazo watu wamewekeza pesa zao kuifanya sekta ya beach kuwa na hadhi nchini.
Mnaenda changanyikeni cocobeach ambapo hadi mbwa coco wanaogelea mnategemea nini?
Vitu vingine ni kujiongezaga tu.
..sikubaliani na wewe.

..fukwe zote zinatakiwa ziwe safi, na za kistaarabu.

..tujenge utamaduni wa kupenda mambo mazuri-zuri.
 
Weka ushahidi.

Wewe kaa kimya, wewe ndiyo msemaji wake? Siku zote msema kweli anaonekana mkorofi. Hilo mbona linajulikana. Utakuta wewe ndiyo wale wale tu. Mawaziri mpaka Rais anasemwa hovyo humu, mlikuja kutetea hata siku moja? Kwa kuwa mnatoka mkoa mmoja basi yeye ndiye wa maana?

Bado, si yeye si wewed, hamjajibu hoja zangu. Naona mnajaribu kufanya "character assassination" badala ya kujibu hoja.

Hata yeye, badala ya kujibu hoja zangu, kaanza na kujidai, wewe una ajenda.

Ajenda mimi ya nini na ajenda hapa imeshwekwa na mwehu anayehiita GENTAMYCINE

Punguwani wahed.
We kwa umri wako 60s ulibidi kuwa mtu wa hekima Mbona wazee Wenzako wapo humble Sana na wapo na utu Sana. What's strong about you?
 
Haya, mpira umekwisha sasa leteni habari zenu.

Zimamoto kishaenda coco beach?
Yaani turaruka sarakasi zote za long term, short term, immediate na emergency plan zote[emoji28] tuko vizuri pande zote hadi ukasirike kabisa. Vipaji vyote tunavyo sisi.

Yaani hata kiangazi na masika Zina majira ya kudumu, ila dharura hazijawahi kukosekana...

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Hatua gani sijachukua mfano[emoji28] hatua zote ninazochukuaga ww huoni? Basi pita na kurasa zingine usibaki humu tu. Nadhani na ww chukua hatua za kutembelea kurasa zetu na zangu na zingine uone malimwengu ya hatua. Usisubiri baadae uanze kusema inge......

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app

=ninazochukua

Hayo ma "ga ga" hayapo kwenye Kiswahili.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
=ninazochukua

Hayo ma "ga ga" hayapo kwenye Kiswahili.

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hilo, tu.. usijali. Nilidhani ndiyo slang ya wasasa. Na edit tu kama haileweki Ili tuelewane vzr. Walau umeanza kuona hoja za msingi ila tu na wewe ukijirekebisha tu hapo unapoambiwa na wadau, huenda ukaongeza tija kwenye hoja zako. 😅

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Yaani turaruka sarakasi zote za long term, short term, immediate na emergency plan zote[emoji28] tuko vizuri pande zote hadi ukasirike kabisa. Vipaji vyote tunavyo sisi.

Yaani hata kiangazi na masika Zina majira ya kudumu, ila dharura hazijawahi kukosekana...

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app

Nikasirike nini mimi, nnakuona unavyozima moto. Unafikiri nategemea jipya lipi kutokea kwako?

"capacity": ya upeo wako nimeiona ilipofikia na kwa bahati mbaya huelewi ku "unlearn".

Nakupa heko na hongera sana kwa kuzima moto kila unapposikia unawaka sehemu.

Lini tutegemee tamko lako la coco beach?
 
Hilo, tu.. usijali. Nilidhani ndiyo slang ya wasasa. Na edit tu kama haileweki Ili tuelewane vzr. Walau umeanza kuona hoja za msingi ila tu na wewe ukijirekebisha tu hapo unapoambiwa na wadau, huenda ukaongeza tija kwenye hoja zako. 😅

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Wewe wachana na "wadaU wako wansema nini, wao nawajibu kivyao na wewe nakujibu kivyako.

Unachotakiwa kuwa nacho ni plan hapo, siyo plan uliyoikuta tokea enzi za Mwana Nuru.

Unamfahamu Mwana Nuru? Au hujaisima historia ya hiyo wizara?
 
Nikasirike nini mimi, nnakuona unavyozima moto. Unafikiri nategemea jipya lipi kutokea kwako?

"capacity": ya upeo wako nimeiona ilipofikia na kwa bahati mbaya huelewi ku "unlearn".

Nakupa heko na hongera sana kwa kuzima moto kila unapposikia unawaka sehemu.

Lini tutegemee tamko lako la coco beach?
Yaani usitarajie nitaacha ku react. Hilo wala usitarajie. Halafu, hilo la coco beach tayari nimeshawasiliana na mamlaka husika ya eneo hilo kwa hatua za kimfumo. Halafu Sasa nitaenda kufuatilia.


Haya Ndg. wananchi wengine wote wenye shida na kero sugu mbalimbali zinazohusu wizara yangu njooni leteni tufanye kazi jamani. Mwenzetu huyu hapa hataki kabisa. Leteni leteni tusafishe kero za jamii, muda mchache, Ya muda mrefu yataendelea sambamba na mipango husika, ya Sasa njooni tusemezane. Asiyetaka atusamehe

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Wewe wachana na "wadaU wako wansema nini, wao nawajibu kivyao na wewe nakujibu kivyako.

Unachotakiwa kuwa nacho ni plan hapo, siyo plan uliyoikuta tokea enzi za Mwana Nuru.

Unamfahamu Mwana Nuru? Au hujaisima historia ya hiyo wizara?
Plan zipo ndugu, soma tu taarifa zetu. Uwe na plan ya kusoma na kusikiliza matoleo ya taarifa zetu mbalimbali kama wengine. Itasaidia Sana. Karibu.

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
 
Yaani usitarajie nitaacha ku react. Hilo wala usitarajie. Halafu, hilo la coco beach tayari nimeshawasiliana na mamlaka husika ya eneo hilo kwa hatua za kimfumo. Halafu Sasa nitaenda kufuatilia.


Haya Ndg. wananchi wengine wote wenye shida na kero sugu mbalimbali zinazohusu wizara yangu njooni leteni tufanye kazi jamani. Mwenzetu huyu hapa hataki kabisa. Leteni leteni tusafishe kero za jamii, muda mchache, Ya muda mrefu yataendelea sambamba na mipango husika, ya Sasa njooni tusemezane. Asiyetaka atusamehe

Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
"Mwenzetu" yupi huyo "hataki"?
 
Back
Top Bottom