mahenda255
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 513
- 691
uzee unamsumbua wala msihangaike na huyu bibi kizee FaizaFoxy nakaa nae jirani najua ana matatizo ya kiafya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
uzee unamsumbua wala msihangaike na huyu bibi kizee FaizaFoxy nakaa nae jirani najua ana matatizo ya kiafya
[emoji847] Ulisema uko bize sana lakini nashukuru umepata muda wa kurejea na maoni yako. Nimeyapokea, nasoma vizuri nione la kufanya kwa kuwa mambo mengi yanauhusiano wa kitimu, yaani "sectoral". Ngoja niratibu, Ili mradi linaenda kwenye jamii, basi wizara yetu ngoja ione jinsi ya kufanyia kazi na utasikia mrejesho. Ubarikiwe Sana.
Huwezi kutupotezea muda, shida yako tunaijua.Kwa waziri huyo sahau kama kuna jipya utaliona kwake.
Atatafuta vyombo vya habari ataongea, kwisha, ndiyo kamaliza kazi hapo. Hana ubunifu, anatakiwa yeye mwenyee a Reform kwanza.
Bila hata kumtunishia misuli, nilimpa ushauri wa kiufundi tu, nikafungiwa kwenye ile ost nisimjibu. Aseme yeye tu.
"Piganeni na wasiomwamini allah....yaani imani yenu ni ya umwagaji damu bora hata yule anaeamini ng'ombe.Kuna uzi nimeuanzisha wa ushauri kwa mawaziri, utawakuta wote huko, kila mmoja kwa namna yake, kidogo kidogo. Unaweza kupeleka maoni yako huko.
Uislam haubaguwi.
Lazima uijuwe, utawache kumjuwa msema kweli. Ningeshangaa.Huwezi kutupotezea muda, shida yako tunaijua.
Huyu mama Gwajima d mfuatiliaji sana, kuna picha za hovyo zilirushwa insta... akaitwa akafika haraka na kulishughulikia.
Ninaamini hata hapa atakuja
Una haki na aoni yako. Too shallow."Piganeni na wasiomwamini allah....yaani imani yenu ni ya umwagaji damu bora hata yule anaeamini ng'ombe.
Nimefika ndugu yangu. Ingawa ukifika tabu, usipofika tabu kama kwa Hawa ndugu zetu akina FaizaFoxy[emoji28]. Utasikia... Reactive siyo Proactive... Sasa sijui mambo ya dharura tuyaache tu nchi ya watu million 60 na changamoto zetu utakosa vipi dharura mbalimbali.... Na utapata wapi mifumo ya [emoji817] kukinga? Hata huko kwenye sekta kongwe Wana emergency services. Sijui shida ni Sababu mm ndiyo nawahi kuona au tabu wapi? Si ndiyo kidigitali hiki jamani? Au nawaza vibaya...
Normal chanel na zenyewe zipo call center tumetangaza Kila Leo... [emoji28] ahsante Sana .. twende kazi sisi... Wanadamu watasema tu....
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Kweli nimeamini sio kila mzee ana hekima na busara ,wewe ni mmoja wa wazee wapuuziNingekujibu lakini unalindwa na moderators.
Kwangu mimi wewe huna jipya. Kazime moto coco beach.
Shida yako wewe ni moja tu!Bila hata kumtunishia misuli, nilimpa ushauri wa kiufundi tu, nikafungiwa kwenye ile ost nisimjibu. Aseme yeye tu.
Watanzania kuna kulindana kama kawaida, itakuwa moderator na huyu binti wametokea mkoa mmoja.
Kwanza hana ubavu wa kushindana kwa hoja za kiufundi na mimi. Namuona anapiga porojo za kisiasa tu.
Waziri gani ambae hana plan ya kuendesha wizara yeke? Fikiri hapo tu.
Nilimuuliza akaniletea sera ya waziri mkuu iliyyopitwa na wakati. Kumbana hapo kidogo, akajidai inafanyiwa marekebisho. Sasa kama inafanyiwa marekebishoi aliileta ya nini kutaka kutudanganya? Fikiri hapo tu.
Haya ya coco beach hayaanzii coco beach, ni ukosefu wa maadili kwenye jamii na waziri hana plan kabisa ya kukabiliana nayo.
Tulimsikia mpaka Mwakyembe akija na ma NGO kibao yanayoongoza kwa kusambaza ushoga, mlimsikia huyu waziri akija na plan ya kuyashughilikia hayo? Maaawe.
Jitahidi kutuzoea mwalimu😀[emoji28]yaani huyu FaizaFoxy, siyo bure, huenda nyuma yake kuna jambo lake fulani fulani... Ila mm humu sitoki yeye afanye ajenda yake na mimi nafanya yangu.... kaziiendelee
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Basi dada yangu,nenda naye taratibuBila hata kumtunishia misuli, nilimpa ushauri wa kiufundi tu, nikafungiwa kwenye ile ost nisimjibu. Aseme yeye tu.
Watanzania kuna kulindana kama kawaida, itakuwa moderator na huyu binti wametokea mkoa mmoja.
Kwanza hana ubavu wa kushindana kwa hoja za kiufundi na mimi. Namuona anapiga porojo za kisiasa tu.
Waziri gani ambae hana plan ya kuendesha wizara yeke? Fikiri hapo tu.
Nilimuuliza akaniletea sera ya waziri mkuu iliyyopitwa na wakati. Kumbana hapo kidogo, akajidai inafanyiwa marekebisho. Sasa kama inafanyiwa marekebishoi aliileta ya nini kutaka kutudanganya? Fikiri hapo tu.
Haya ya coco beach hayaanzii coco beach, ni ukosefu wa maadili kwenye jamii na waziri hana plan kabisa ya kukabiliana nayo.
Tulimsikia mpaka Mwakyembe akija na ma NGO kibao yanayoongoza kwa kusambaza ushoga, mlimsikia huyu waziri akija na plan ya kuyashughilikia hayo? Maaawe.
Kwa kuzima moto ni hodari sana, hata mimi namsifu hapo.Sana kama unakumbuka ISHU ya YERICKO NYELELE facebook alipost dogo alimuambia muajiri wake wa kazi za ndani kuwa ameibiwa JINA lake kwenda FORM 5 amefaulu akapewa mwingine hvyo ndo maana akaenda kufanya kazi za ndani
Kwanza waziri Gwajima akafika faster kwenye UZI ule akaahidi atalifanyia kazi
Na kweli ndani ya masaa 24 like swala likapata MAJIBU ikaonekana DOGO ni laghai tu
Hvyo kwanza kitendo cha kuwa ACTIVE na jamii mitandaoni kwa NAFASI yake kama waziri ni msaada tosha kwetu
So kwa mm kwa WIZARA aliopo na namna anavyoreact SERIOUS ishu kwa halaka kutoka MITANDAONI inaleta MATUMAINI
ambapo Naami wapo MAWAZIRI wengine watamuiga kwa hili hivyo ni FAIDA kwetu wananchi
Kujibiwa TATIZO lako na mtu MWENYE dhamana ya Sekta huskaNi hatua moja katika kutatua TATIZO mengine yanahitaji muda na kupanga mikakati
Hvyo naimani MUDA utaongea
HONGERA WAZIRI
Fala sana wewe acha usenge mbwa kabsa,Kama unataka kuwa chawa wake sema.kwanza umekula? sio unapangia viongozi cha kufanya kumbe ni njaa tu inakusumbua
Pia ni Mental Case huyo Siku nyingi.
Kazi hizi za majukwaani, anaziweza sana. Hilo nampa maua yake.Ndugu yangu nikutoe gizani.
Waziri Dkt. Gwajima D amejitahidi mnoo kufanya kazi inayoonekana na hana mbwembwe unazozisema.
Usitukimbizie Waziri wetu jukwaani pls