Siri yangu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2023
- 1,426
- 2,845
Kadi umeshapata lakiniHuyu mama Gwajima d mfuatiliaji sana, kuna picha za hovyo zilirushwa insta... akaitwa akafika haraka na kulishughulikia.
Ninaamini hata hapa atakuja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kadi umeshapata lakiniHuyu mama Gwajima d mfuatiliaji sana, kuna picha za hovyo zilirushwa insta... akaitwa akafika haraka na kulishughulikia.
Ninaamini hata hapa atakuja
Amekuja Kaka na ameshatoa mwongozo! Yuko very active na hasubiri maagizo Kutoka juu, wasiwasi wangu ni kwamba huenda CCM (baadhi) wasipendezwe na namna ya ufanyaji KAZI wake.Huyu mama Gwajima d mfuatiliaji sana, kuna picha za hovyo zilirushwa insta... akaitwa akafika haraka na kulishughulikia.
Ninaamini hata hapa atakuja
Peleka ujinga wako nkuhi😂Kadi umeshapata lakini
Nadhani ni muhimu ku-appreciate hatua alizoweza kuchukua so far, kama Kuna nyingine tuzilete Kwa pamoja najua atatoa mwongozo kama WaziriNyingi tu dada angu ngoja nikitulia nakuletea ushahidi hapa hapa jamvini
Haijalishi hata wasipopendezwa na kumtoa lakini kazi yake itasimama na kumtetea daima.Amekuja Kaka na ameshatoa mwongozo! Yuko very active na hasubiri maagizo Kutoka juu, wasiwasi wangu ni kwamba huenda CCM (baadhi) wasipendezwe na namna ya ufanyaji KAZI wake.
Karibu Sana, sms 0765345777. Karibu kwa mawazo ya kusukuma maendeleo na ustawi wa jamii yetu[emoji1241]Hakika! Tungekua na mawaziri hata watano tu wanaojitambua kama WEWE hakika tungekua na Tz ya tofauti, mengine nitaomba appointment ofisini Kwako Mimi na wewe.
Ni maswala ya jinsia tuu?Karibu Sana, sms 0765345777. Karibu kwa mawazo ya kusukuma maendeleo na ustawi wa jamii yetu[emoji1241]
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Na anapambana humu jfAmekuja Kaka na ameshatoa mwongozo! Yuko very active na hasubiri maagizo Kutoka juu, wasiwasi wangu ni kwamba huenda CCM (baadhi) wasipendezwe na namna ya ufanyaji KAZI wake.
Nimefika ndugu yangu. Ingawa ukifika tabu, usipofika tabu kama kwa Hawa ndugu zetu akina FaizaFoxy[emoji28]. Utasikia... Reactive siyo Proactive... Sasa sijui mambo ya dharura tuyaache tu nchi ya watu million 60 na changamoto zetu utakosa vipi dharura mbalimbali.... Na utapata wapi mifumo ya [emoji817] kukinga? Hata huko kwenye sekta kongwe Wana emergency services. Sijui shida ni Sababu mm ndiyo nawahi kuona au tabu wapi? Si ndiyo kidigitali hiki jamani? Au nawaza vibaya...Huyu mama Gwajima d mfuatiliaji sana, kuna picha za hovyo zilirushwa insta... akaitwa akafika haraka na kulishughulikia.
Ninaamini hata hapa atakuja
Yupo viZuri kwa hojaNa anapambana humu jf
Humu viongozi wanakuja
Wakiona maji marefu wanakimbia
Ila dr mmbishi tunaye humu [emoji1]
Ova
Ndugu yangu tenda wema uende zako akina FaizaFoxy huwa wapo tu kunogesha mijadala... Sisi twendeni zetu kazi kazi kazi mpaka waseme poleni jamani[emoji28]Nyingi tu dada angu ngoja nikitulia nakuletea ushahidi hapa hapa jamvini
Mwenzangu, kumbe naye mdada... [emoji28]Dah, wanawake hampendani kabisa aisee
Ya wapi tena wewe siriyanguKadi umeshapata lakini
Salaam Mheshimiwa, kwa nini fukwe zote zinazotumika na wananchi zisiwe na Life Guard Officers? Naamini katika hawahawa Beach Boys wapo wenye tabia nzuri ambao wakiwa trained wanaweza kufanya kazi hiyo Vizuri tu kwa kulipwa pesa kidogo either kwa masaa, siku au Wiki. Kwa namna moja au nyingine serikali pia itakuwa imetoa ajira kwa vijana wengi wanaoranda randa kwenye fukwe zetu nzuri. Nipo tayari kusaidia ushauri na mbinu mbalimbali iwapo nitahitajika kwa kazi hiyo.[emoji847] Ulisema uko bize sana lakini nashukuru umepata muda wa kurejea na maoni yako. Nimeyapokea, nasoma vizuri nione la kufanya kwa kuwa mambo mengi yanauhusiano wa kitimu, yaani "sectoral". Ngoja niratibu, Ili mradi linaenda kwenye jamii, basi wizara yetu ngoja ione jinsi ya kufanyia kazi na utasikia mrejesho. Ubarikiwe Sana.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Masuala ya maendeleo ya jamii, Jinsia, wanawake na makundi maalumu ya Wajane, Watoto, Wazee na Wamachinga. Ingia website yetu soma hotuba ya Bajeti utapata Kila idara na kazi zake na utekelezaji wake na data.... Ahsante kwa swali jemaNi maswala ya jinsia tuu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Basi hapo unajiona wewe ndio mtoto pendwa wa dr Gwajima
[emoji847] naogelea sambamba hazami mtu hapa... Twende kazi kazi kaziNa anapambana humu jf
Humu viongozi wanakuja
Wakiona maji marefu wanakimbia
Ila dr mmbishi tunaye humu [emoji1]
Ova
Sasa wewe kwani beach boy sio binadamu.Wakiwa huko Wahimizeni wajifanye hawajui kabisa Kuogelea kisha wavalie Nguo za Kutamanisha na wawe Wanajibebjsha kwa hao Beach Boys.