Waziri Dkt. Ndumbaro: Tanzania Inaandaa Mashindano Mapya ya Mwalimu Nyerere Liberation Cup

Waziri Dkt. Ndumbaro: Tanzania Inaandaa Mashindano Mapya ya Mwalimu Nyerere Liberation Cup

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Damas Ndumbaro amesema Tanzania imeandaa mashindano mapya yaliyopewa jina la ‘Mwalimu Nyerere Liberation Cup’ ambayo yatakuwa ni mashindano ya vijana wenye umri wa miaka 20 yatakayojumuisha Bara lote la Afrika.

Dkt. Ndumbaro amesema hayo katika ufunguzi wa mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) na Mashindano ya Umoja wa Michezo Shule za Sekondari Tanzania (UMISSETA) kwa ngazi ya taifa, kwa mwaka 2024 yaliyofanyika mkoani Tabora.

“Tutaweka michezo ya aina mbalimbali na sisi Tanzania ndio wenyeji kwa hiyo vijana watakaotoka kwenye mashindano haya (UMITASHUMTA na UMISSETA) watahusika katika kombe hilo,” ameongeza Dkt. Ndumbaro.

Screenshot 2024-06-08 at 16-18-35 Nchi Kwanza (@nchikwanza) • Instagram photos and videos.png
Screenshot 2024-06-08 at 16-23-48 Nchi Kwanza (@nchikwanza) • Instagram photos and videos.png
Screenshot 2024-06-08 at 16-23-58 Nchi Kwanza (@nchikwanza) • Instagram photos and videos.png
Screenshot 2024-06-08 at 16-24-03 Nchi Kwanza (@nchikwanza) • Instagram photos and videos.png
Screenshot 2024-06-08 at 16-24-14 Nchi Kwanza (@nchikwanza) • Instagram photos and videos.png
Screenshot 2024-06-08 at 16-24-22 Nchi Kwanza (@nchikwanza) • Instagram photos and videos.png
Screenshot 2024-06-08 at 16-24-28 Nchi Kwanza (@nchikwanza) • Instagram photos and videos.png
 
Back
Top Bottom