#COVID19 Waziri Dorothy Gwajima: "Mume wangu ametest mitambo, kakuta Niko fiti"

SIyo vitu vya kawaida kuongelea mambo kama hayo kwenye public


Masuala ya Afya na tiba huwa hayana "AIBU"----- "mficha maradhi kilio humuumbua" wahenga walisema isitoshe mficha mbususu hazai wahenga wakamalizia.🤣
 
Sasa mwingine akisema ni effects za chanjo ndo maana kauli na tabia zake hazieleweki - atakataa???

Maana her behaviour is not of a rational human being ni kama speaking zombie....

Ajifunze 'emotional intelligence'


Huyo akiwa kama Dr kakosea nini???
 
Hata washauriwe na kufundwa na malaika hawawezi badilika, wote wote hawana namna nyingine ya kushawishi umma ktk mambo yote wakaeleweka achilia mbali la UVICO 19 NA CHANJO yake. Viongozi hawa na taasisi yao ya kisiasa walishapoteza kibali na ushawishi mbele za watu utaishia kuropoka kutapatapa maana hawajui watu wanataka nini ili wawaelewe. Watu wameerevuka wanaelewa ukanjanja unaofanyika nchini ktk mambo yote
 
Kuna baadhi ya nati zimelegea kwa huyu mama, huyu ndo anawapa backup wajinga wanaopinga chanjo
 
Walimtest akiwa kwenye popo kanyea mbingu,mbuzi kagoma kwenda au cha mende?? Atuambie sasa
 
Hatujapenda kutuambia hivyo hadharani!
 
Rudia kuchanjwa uongeze fitness
 
Masuala ya Afya na tiba huwa hayana "AIBU"----- "mficha maradhi kilio humuumbua" wahenga walisema isitoshe mficha mbususu hazai wahenga wakamalizia.🤣
Kwani alikuwa na maradhi gani?
 
Jamani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…