Ndio athibitishe tuu shida iko wapi? Then kama yete hataki chanjo maneno mengi yanini?Waziri nae abaki na ya kaizari,asiingilie mambo ya wenye Imani . Kumwambia mwenye Imani athibitishe maana yake anataka Mwenyezi-MUNGU athibitishe. Mwenyezi MUNGU akiamua waliochoma chanjo wapate madhara waziri anayotaka Askofu Gwajima athibitishe ,atawezana
Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
Leta hapa data walizotoa kwamba chanjo hii haina madhara for the next ten years. Weka hapa hizo proof.Wqmeshatoa enough data
ni wakati sasa gwajiboy athibitishe tuhuma dhidi ya chanjo feki, content ya chanjo na madhara ya chanjo
Ameshafufua wangapi hadi sasa? Kwanini ameshindwa kuwafufua ukoo wake?Josefu alikua akiongelea mambo ya kiroho' Dorothy anaongela mambo ya kimwili. Hau gwajilady amesahau kuwa kanisa la gwajiboy linafufua na kutoa uzima?
Kwahiyo yule Kibwetere wa Bongo ndio Mungu wenu!Anayepambana na Mungu Mkuu.
Askofu wa kweli ni yupi? Anaye valia kofia na fimbo?Kujiita askofu ni kuchafua hadhi ya uaskofu, kuwa askofu kuna kanuni zake sio kujitangazia kiholela. Kamati iliyokaa na kumpa Gwagima uaskofu waliangalia sifa za uaskofu? Bila shaka hawakuangalia ndio maana anapayuka ovyo. Chungu ulimi wako mbele ya serikali.
Mungu hawezi kumtumia mzinzi, mwongo na mwizi wa kura.Mtashindana lakini hamtashinda.
Gwajima huwezi kushindana na Mungu, hata ufanyeje.
Si kwa majeshi wala silaha , ila ni kwa Roho Wa Bwana.