Gamic
JF-Expert Member
- Jun 24, 2021
- 1,156
- 2,271
Waziri nae abaki na ya kaizari, asiingilie mambo ya wenye Imani . Kumwambia mwenye Imani athibitishe maana yake anataka Mwenyezi-MUNGU athibitishe. Mwenyezi MUNGU akiamua waliochoma chanjo wapate madhara waziri anayotaka Askofu Gwajima athibitishe ,atawezana.