#COVID19 Waziri Gwajima aagiza Askofu Gwajima kukamatwa ili athibitishe kauli anazozitoa dhidi ya Serikali na viongozi kuhusu chanjo ya UVIKO-19

Kwani ni lazima mtangaze kukamatwa kwake? Kamchukueni kimya kimya kama ilivyofanyika kwa mbowe.
 
Watamfanya nini wakishamkamata?
 
Taasisi kupambana na Rushwa inaingiaje hapo?! kwani kuna pesa klitolewa kwake akaitafuna.!
Itumieni taasisi hii kwa jinsi ya majukumu yake. Tusipotoshe ukweli.
 
Waziri wa afya Dkt Dorothy Gwajima aliagiza jeshi la polisi kumkamata Mbunge mh Gwajima kwasababu anapotosha umma pia amesema anayumbisha wizara yake.

 
waziri wa afya dk doros gwajima aliagiza jeshi la polisi kumkamata mbunge mh Gwajima kwasababu anapotosha uma pia amesema anayumbisha wizara yake.

Huyu ni nabii kwa mujibu wa madai yake.

Kama Paulo na Sila, tusubirie milango ya gereza kufunguka.
 
Unashangaa Gwaji kuwa askofu?
Hebu njoo huku lidazi umuone bishop Mkandamizaji anachunga kundi la kondoo wa Bwana, yaani ni full comedy 😂😂
 
Kimsingi akamatwe tu,km ana msimamo wake abaki nao tu sio kila siku kuhubiri juu ya huo msimamo,kila mtu anabega lake la kuchanja,huyu ni mkwamishaji,mpotoshaji kama wapotoshaji wengine,anavyoachwa hivi sio afya kwa wizara na mapambano ya Uviko-19
 
*NITAKUUMBUA" ni maneno aliyosema gwajima wiki zilizopita kwa yeyote ataetala kupingana nae hoja.

Wacha tusubiri
 
waziri wa afya dk doros gwajima aliagiza jeshi la polisi kumkamata mbunge mh Gwajima kwasababu anapotosha uma pia amesema anayumbisha wizara yake.

View attachment 1895637
Amefanya kosa gani kisheria? Mbona huyo naibu waziri na waziri wake ndio walikuwa wanatuambia tupige nyungu?
Gwajima akikamatwa nitaamini kwamba nyuma ya hii chanjo kuna agenda ya siri
 
Amefanya kosa gani kisheria? Mbona huyo naibu waziri na waziri wake ndio walikuwa wanatuambia tupige nyungu?
Gwajima akikamatwa nitaamini kwamba nyuma ya hii chanjo kuna agenda ya siri
Yaani waziri anataka kupangia watu vya kuongea kwenye mimbari za nyumba za Mungu!
Mama Samia hii wizara haina msaada kwako. Imegeuka kuwa wana siasa tu.
 
Wameshatoa enough data

Ni wakati sasa gwajiboy athibitishe tuhuma dhidi ya chanjo feki, content ya chanjo na madhara ya chanjo
Gwajima kapewa nafasi ya kuthibitisha asilie lie uwanja Ni wake akathibitishe kuwa chanjo inasababisha watu wawe mazombi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…