Alexander The Great
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 4,509
- 23,653
Ni wazi IGP Sirro ameshaogopa kumkamata Askofu Gwajima na IGP ni CCM damu damu, bila aibu anasema eti "tutawashauri watatute jambo hili kwa njia ya mazumgumzo".
Mbona hajawahi kuwashauri wapinzani kutatua matatizo kwa njia ya mazungumzo, huwa anatoa vitisho na kuwakamata kwa nguvu.
Yeye mtu wa CCM anaezua taharuki kwa wananchi na kupinga serikali wazi wazi anamshauri kutatua kwa njia ya mazungumzo, ila mtu anaedai katiba mpya kwa njia ya amani ni adui na wakukamatwa kwa kutumia mabomu ya machozi na nguvu nyingi.
Yupi ni mtu hatari, anaezua taharuki na kupotosha taifa au anaedai katiba ya nchi yake kwa njia ya amani???
Mbona hajawahi kuwashauri wapinzani kutatua matatizo kwa njia ya mazungumzo, huwa anatoa vitisho na kuwakamata kwa nguvu.
Yeye mtu wa CCM anaezua taharuki kwa wananchi na kupinga serikali wazi wazi anamshauri kutatua kwa njia ya mazungumzo, ila mtu anaedai katiba mpya kwa njia ya amani ni adui na wakukamatwa kwa kutumia mabomu ya machozi na nguvu nyingi.
Yupi ni mtu hatari, anaezua taharuki na kupotosha taifa au anaedai katiba ya nchi yake kwa njia ya amani???