Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Sawa dada....nimekusikiaMimi hata ukaniita nani,kikubwa tu najua akili yako haina akili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa dada....nimekusikiaMimi hata ukaniita nani,kikubwa tu najua akili yako haina akili.
Tena mchana kweupee! Huyu standup comedy ndio sehemu sahihi kwakeHuyu waziri tulipigwa.....
Angepewa sanaa na michezo kungemfaa hukoTena mchana kweupee! Huyu standup comedy ndio sehemu sahihi kwake
Tena mchana kweupee! Huyu standup comedy ndio sehemu sahihi kwakeHuyu waziri tulipigwa.....
Social interaction na korona hii, hatakiwi kujichanganya hivyo kipindi hiki, waziri gani anajichetua kupitiliza?Hiyo ni social interaction.....tatizo mmekariri kiongozi ni jitu liko serious muda wote. Naye ni binadamu jamani,ana haki ya kufurahi.
Niliwaza kuku cc 😂😂Mwache bana.
Mi nampenda
Tena Mchana Kweupe!!Huyu waziri tulipigwa.....
Kwamba anavyocheza hapo dawa zinadondoka kwenye makabatiHana kosa, angepewa wizara nyingine hata sanaa huko michezo, hiyo aliyonayo ni nyeti haihitaji comedy
Video iko wapi?Pichani chini:
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt Dorothy Gwajima akicheza Ngoma Ya Egumba Akiwa Katika Ziara Ya Kikazi Kutembelea Chuo Cha Maendeleo ya Jamii Buhare Musoma.
View attachment 1894760
Ni daktari huyo, kabla ya uwaziri amehudumu kama daktari katika hospitali zetu, kosa lake ni kusosholaizi na hao wananchi au nini haswa?Hana kosa, angepewa wizara nyingine hata sanaa huko michezo, hiyo aliyonayo ni nyeti haihitaji comedy
Ni daktari wa nini? Pediatrician?Ni daktari huyo, kabla ya uwaziri amehudumu kama daktari katika hospitali zetu, kosa lake ni kusosholaizi na hao wananchi au nini haswa?
Personality hazifanani, kikubwa anatimiza majukumu yake ipasavyo.
Haihusiani na kuchezaKwamba anavyocheza hapo dawa zinadondoka kwenye makabati
[emoji38][emoji38]Kuna wanaume wenye moyo sana, huyu naye ni mke wa mtu kabisa
General practitioner.Ni daktari wa nini? Pediatrician?
Wangeoana tu kwa kweli maana hata mm nilijua ni mumewe kwa staily hizo wanakwenda nazoHuyo jamaa muda wote anakuaga nyuma ya Dorothy hadi nilikua najua ndio mme wake [emoji23][emoji23][emoji23]