Waziri Gwajima: Askofu Gwajima ni shemeji yangu, alidai atamfufua Chifupa pia alikutwa na Mrembo akasema mkono wa Baunsa

Tayari nishachanja... Na hakuna hata side effects kama chanjo nyingine.
Umesoma andiko au kama kawaida umekurupuka?? wamesema madhara ni muda gani??

Haya rudi kasome tena halafu uje uniambie umechoma lini
 
Kwa nini ninyi msikubali kushitakiwa na kulipa ikiwa mtu atapata madhara? Hiyo ni njia rahisi ya kuthibitisha usalama wa chanjo. Yaani badala ya nyie kuthibitisha usalama, mnageuza kibao kwamba tunaochanjwa ndio tuthibitishe KUWA SI SALAMA! Dunia iko kichwa chini miguu juu. Tunaye Mungu mbinguni wa kututetea.
 
Hapa tena AIBU TU

Umesoma andiko au umekuja kubishana bila kusoma?

Ngoja wenzako waliosoma wapite kwenye comments zako wakudharau btw sikujibu tena

Labda urudi kwenye uzi uje na hoja za.msingi
Andiko lipi?

Huo upuuzi ulioandika, au?

Btw, unahoji ikiwa nimesoma hivi sasa ina maana hukuona hapo mwanzo? Au baada ya kukuonesha clip ya Tapeli Gwajima akijifanya kufufua mtu ndo unahoji ikiwa nimesoma?

Btw, hoja zipi?! Nimekuuliza maswali kadhaa kuhusiana na hicho unachoita hoja... je umeyajibu?
 
Humu umedhihirisha upeo wako mdogo bado unafanya mashambulizi binafs unaacha Hoja we utakuwa binto wa kambo wa Gwajigirl
Very stupid!! Unaona mashambulizi binafsi huku ukishindwa kuona kwamba ni wewe ndo umeanza personal attack?! Badala ya kujibu nilichokuwa nimekuliiza, ukarudia tena na tena kusema eti niruidishe simu? Sio personal attack hiyo?

Iwe bado nasoma au sisomi, inahusiana nini na kile ambacho nilikuwa nimekuuliza?

Kama mimi ni Bint wa kambo wa Gwajima, bila shaka wewe utakuwa yule mliyejirekodi huku akikutafuna; kwahiyo upo hapa kumpigania hawala pornstar mwenzako!!!

Btw, kama mimi nina upeo mdogo, vipi kuhusu yule anayemuamini tapeli anayejifanya kufufua watu? Huyo nae atakuwa na upeo mdogo au mpumbavu kabisa?
 
Wacha dhambi ya uchafuzi wa 28|10|2020 iwatafune.
 

Hiki kimeumana:

1. Kumfufua AC
2. Mkono wa baunsa 😂😂!
3. Ubunge cheo kidogo 😂!

Hivi hamkumbuki wajameni? Na huku nako je?



Nani wanakumbuka nini?

Kimeumana!
 
Kwani na sisi tukimuuliza dokta Gwajima si ni yeye alisema tujifukize na kupiga nyungu mpaka akatengeneza video yeye na mumewe kutuhamasisha Watanzania?

Imekuwaje sasa amebadili gear angani? Au kwasababu bwana yule amesha resti in pisi?
Vita yeyote ina short and long strategy!
Wachawi nao wana mbinu hizo hizo za kujaribu zari!
Sioni alipo kosea huyu mama!
 
Waziri hana hayo mamlaka. Yeye kama waziri, endapo ana taarifa za mtu yeyote aliyetenda jinai anatoa taarifa polisi tu. Polisi watafanya uchunguzi na kuona ni lipi linafaa kutokana na sheria za nchi.

Tusijivike koti la udikteta la enzi za awamu ya utawala wa kidikteta za Jiwe. Ule ulikuwa uvunjivu wa sheria wa wazi. Utawala ule ulilaanika kwa matendo yaliyojaa uvunjivu wa sheria wa wazi kabisa.
 
Umesoma andiko au kama kawaida umekurupuka?? wamesema madhara ni muda gani??

Haya rudi kasome tena halafu uje uniambie umechoma lini
Sijachanja Johnson vaccine.

Pia long term effects za vaccine hakuna anayeweza kuzipredict leo unless hizo effects ni part ya vaccine toka mwanzo na wanaoweza kujua hilo ni watengenezaji wenyewe.

Kuna Watanzania wengi tu nje ya nchi kwa zaidi ya miezi 3 sasa. Kama kungekuwa na matatizo hakuna ambaye angekaa kimya. So far watu ninaowajua waliochanjwa wote wako salama. Ila pia nawafahamu Watanzania waliokufa kwa huu ugonjwa na hawakuwa wamechanjwa.
 
Wacheza sinema wawili wanapoparurana halafu wooote chama cha mbogamboga kazi ipo kwakweli, nadhani tuachane nao by the way ni mambo yao ya kifamilia yanawasumbua ama sivyo ndugu zangu, Nireteeni Gwajimaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Basi tulia hapa bongo ipo J.J ambayo tayari ishaanza kulalamikiwa
 
Well said Fund.

Ni kweli kabisa mifano aliyoitumia Doroth kucounter upotoshaji wa shemejie ililenga kuonyesha kuwa Askofu Rashid ni muongo na hapaswi kuaminiwa. Jamaa akadanganya vitu vingi sana ila inaelekea watu hawaoni ...... imagine mpaka alifikia kufake kifo chake halafu akajifufua!!

Vilevile watu lazima wamuelewe Doroth, pamoja na makosa huko nyuma zigo lote kaachiwa yeye kulibeba .... that's not easy!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…