UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Waziri ameonyesha immaturity ya hali ya juu, na askofu Gwajima akimjibu waziri kwa njia hiyo hiyo naye ataonyesha immaturity.Utamkoma Gwajiboy! Subiri Jumapili ijayo....
Kama hujui nyamaza utaaibikaBado kabisa huelewi mambo, hapo uliposema Dr. Gwajima ni raia, na aliapa kwa raia, pia unaonekana umepaniki.
Maza muoga wa kufanya maamuzi ya haraka.Huyu Dr Gwajina sijui kwa nini Rais haoni mapungufu makubwa aliyo nayo na kumuondoa uwaziri !! Anyway na mama mwenyewe sijui kama hata anaunga'muzi huo mh ! Pengine naye anachekelea mipasho hiyo ! Very sad in deed !
Kama wewe siyo tapeli gwajima basi ni kibaraka wake. Mama ameamua kuweka kila kitu hadharani akitahadharisha kuwa ushemeji usitumike kuhujumiana. Yaani hadi hapo hujaipata!Umeongea kwa mipasho kama kawaida yako huku ukidemka ukimshambulia shemeji yako kwa mambo yasiyohusiana na chanjo.
Mambo ya yeye kulala na muumini wake we yanakuhusu nini?
Mambo ya kumfufua Amina Chifupa yanahusianaje na chanjo?
Nimekusikia ukidai umeapa kwa AMIRIJESHI MKUU wa majeshi ya ulinzia na usalama. Huo nio UONGO wewe ni RAIA kwaio uliapishwa na RAIS wa JMT na sio Amirijeshi Mkuu.
Kwa muktadha huo ukajipa Mamlaka ya KUWAAGIZA IGP na Mkuu wa TAKUKURU kuchukua hatua bila kujua huna mamlaka hayo, ona sasa kwa.kuwa wanajua mipaka yao wamekudai uwape barua hadharani hii ni fedheha kubwa sana kwako.
Nikukumbushe tu wanaoapa KIAPO CHA UTII kwa AMIRIJESHI MKUU NI MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA na sio RAIA.
Haufai kuwa kiongozi na kufanya personal attack kwa kutumia cheo chako.
Bi Mkubwa akiziba pengo la Waziri wa Ulinzi hatakuacha anza kujiandaa.View attachment 1896405View attachment 1896409View attachment 1896410View attachment 1896412View attachment 1896413View attachment 1896414
We umepata kitu gani, acha upuuziKama wewe siyo tapeli gwajima basi ni kibaraka wake. Mama ameamua kuweka kila kitu hadharani akitahadharisha kuwa ushemeji usitumike kuhujumiana. Yaani hadi hapo hujaipata!
We unaakili kuliko huyu[emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313][emoji1313]Bado kabisa huelewi mambo, hapo uliposema Dr. Gwajima ni raia, na aliapa kwa raia, pia unaonekana umepaniki.
Unaposema TAKUKURU wanataka wapewe barua hadharani unamaanisha nini? hiyo siku ya kupewa barua ziwepo camera za Tv kuonesha tukio live?!
Kumbe kukwambia kuwa huajaambua kitu upuuzi! We inaonekana ni juha mjua vyoteWe umepata kitu gani, acha upuuzi
Haya mwerevu. UmesikikaKumbe kukwambia kuwa huajaambua kitu upuuzi! We inaonekana ni juha mjua vyote
[emoji1787][emoji23] umemaliza.,. Huyu anatakiwa aitwe kwenye kikao cha ukoo kwa kosa la kuchungulia nyuchi za shemeji yake.Hana lolote,kwanza kuangalia porno iliyotengenezwa na shemeji yako ni kosa kitamaduni aombe msamaha.
Sirro mwenyewe kasema anahitaji barua maana yake hajapewa barua rasmi hayo makamera ni yanini tena ili kuthibittisha.Bado kabisa huelewi mambo, hapo uliposema Dr. Gwajima ni raia, na aliapa kwa raia, pia unaonekana umepaniki.
Unaposema TAKUKURU wanataka wapewe barua hadharani unamaanisha nini? hiyo siku ya kupewa barua ziwepo camera za Tv kuonesha tukio live?!