#COVID19 Waziri Gwajima: Elimu kuhusu Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya. Kirusi kinabadilika badilika siyo kama mwanzo!

#COVID19 Waziri Gwajima: Elimu kuhusu Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya. Kirusi kinabadilika badilika siyo kama mwanzo!

Hiyo Wizara Jiwe aliionea sana. Ni kama vile aliamua kuidhalilisha kabisa. Aliwafanya Waziri na naibu wake kuonekana watu fyatu kabisa. Kutetea na kuonyesha ujinga wa kiwango cha juu. Imagine Naibu anapewa kazi baada ya kutoa porojo ya ki- abunuwasi kuhusu mpango wa kumuua Lissu!

Heri Mh SSH amewabakiza wamepata fursa ya kuthibitisha kuwa wao ni binadamu normal na wamesoma. Sasa watakosolewa kwa utendaji (competence) tu sio kwa sanity.
 
Waziri wa afya Dkt. Gwajima amesema wagonjwa wa Corona wanaongezeka hivyo wananchi wachukue tahadhari.

Kwa sasa elimu ya kupambana na Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa sababu kirusi kinabadilika badilika na sisi tunabadili style ya kukikabili kwani Wizara ina mambo mengi sana ya kufanya.

Chanzo: ITV habari!
Corona imewashika pabaya viongozi wa kisiasa! Tangu lini elimu ya afya ikatolewa na wakuu wa mikoa na wilaya?

Madaktari warudi Shule? Au hii Covid-19 yenyewe haiwahusu madaktari inawahusu wanasiasa na viongozi wa serikali tuu!?

Kweli kazi iendelee
 
Nahisi huyo mama Gwajima ni mgonjwa wa magonjwa fulani fulani wa akili.
 
Wakuu wa mkoa na wilaya wote vilaza , watazungumza nini kuhusu corona, EEH mungu tusaidie
 
Hakuna namna. Kama kirusi kinabadilika lazima na nyie mbadilike kimbinu. Waingereza washashtukia mchezo.
Kesho utasikia kirusi kinaota kwenye nyusi... kwa hiyo tunyoe kope na nyusi zote...
 
Kesho utasikia kirusi kinaota kwenye nyusi... kwa hiyo tunyoe kope na nyusi zote...
Yeah. Mtachagua kukiondoa kirusi kwa kunyoa kope na nyusi zenu, au kirusi kiwaondoshe na manyusi yenu 😆😆😆.
 
Waziri wa afya Dkt. Gwajima amesema wagonjwa wa Corona wanaongezeka hivyo wananchi wachukue tahadhari.

Kwa sasa elimu ya kupambana na Corona inatolewa na Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa sababu kirusi kinabadilika badilika na sisi tunabadili style ya kukikabili kwani Wizara ina mambo mengi sana ya kufanya.

Chanzo: ITV habari!
Sio na wataalamu wa afya,ama hao wote ni wataalamu wa afya,je hawa wasasa mvuke hautoshi kuwaangamiza,mbona kama hautoshi patachimbika,au kutokuwa na hofu na kutotoa taarifa zitakazosababisha taharuki kutatuokoa mara hii,mawazo wajumbe.
 
Lile sufuria lake la mchuzi bado analitumia kujifukiza na mmewe??au ndo kashamsaliti mwendazake
 
Sijawahi muelewa huyu Waziri wa afya na Naibu wake huwa anasema Serekali.
Ni bora wamtumie hata JOTI ataeleweka kuliko hao wakuu wa mikoa/wilaya
 
mwendazake alikua anampeleka resi hasira zote akawa anamtolea mume wake kutwa anamkimbiza barabarani na maparachichi yaliyosinyaa.
 
Back
Top Bottom