Viongozi vigeugeu hawatufai, Huyu Waziri wa afya Dkt Dorothy Gwajima amegeuka kichekesho, Baada ya IGP Siro kusema hawezi mkamata mtu bila barua na Serikali inafanya kazi kwa maandishi, Dkt Gwajima Waziri wa afya amekanusha kauli yake kuwa Yeye alisema Mchungaji Gwajima ahojiwe na sio kukamatwa
Hawa viongozi wanasoma upepo walisema chanjo hazifai zimetengenezwa haraka, Leo chanjo zinafaa
Hivi lengo la viongozi wa namna hii ni kulipeleka wapi Taifa?
Dakika moja wanakuwa vigeugeu
Naambatanisha video yake ya kukanusha
View attachment 1898596