chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 11,541
- 23,999
Sasa hivi mmeacha mitishamba hao ndugu wameacha kupotea?
waganga wa kienyeji walikuwa wanatembea kifua mbele.
We matako kwani tanzania na ulaya wapi walikufa zaidi wakati wa magufuli !? Nyinyi ndiyo wale mkiulizwa kilo moja ya pamba na kilo moja ya chuma ipi nzito mnajibu " ya chuma" wazungu walivaa barakoa na madaktari bado walikufa kuliko sisi ,sasa ukiulizwa tufate njia ya mzungu lakini tufe kama wao au tusifuate tusife wewe ungechagua nini?kwa upuuzi uko nao najua ungechagua kufa kama wazungu
sibishanagi na wake za watu! hata siku moja. ndo kabila letu lilivyotuonya.
walee ata mafua yanawaua kwaiyoo kuwa mpolee.