cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,549
Mimi kwenye mikusanyiko ndo siendi kabisa, shida unajilinda mwenyewe majority do not care hapo unazuia Nini Sasa, it's like kupaka upepo rangiKwenye mikusanyiko hatarishi sunda barakoa inasaidia.
Kwingine social distancing ukiweza barakoa unaweza toa.