#COVID19 Waziri Gwajima: Kanda ya Ziwa, Kilimanjaro kumeathirika zaidi na Corona

Sasa hivi mmeacha mitishamba hao ndugu wameacha kupotea?

waganga wa kienyeji walikuwa wanatembea kifua mbele.


sibishanagi na wake za watu! hata siku moja. ndo kabila letu lilivyotuonya.

walee ata mafua yanawaua kwaiyoo kuwa mpolee.
 
Tunataka takwimu wamerehemika wangapi kwa uviko wamepona wangapi na mahospitalini wamelazwa wangapi na kila mkoa utoe takwimu zake
 
Mheshima mataka alikuwa sahihi, haya mambo ya kukaa kwenye viyoyoz ndo madhara yake haya Sasa.. jamn hv huko kuathirika kukoje?? Wazr angetusaidia kuzoom in vzr..

Najua tu ni ule mwendelezo wa kutiana hofuu.... Around naona Kama Kuna lockdown hv... Anyway nawaza tu kwa kuandka...[emoji3][emoji3][emoji3]
 
ongezea fiesta
 
Huku kanda ya ziwa mbona tuko vizuri tu! Tunashangaa na sisi huo ugonjwa mmeuona wapi? Mtu siyo wa huku halafu anazungumzia habari za uongo2 tu kuwatia watu hofu. Unaumwa wewe usituletee uchuro hatuna huo ugonjwa ebo!
Kaangalie clip ya Rc makala ndo utajua aina ya viongz tulio nao.. watu wanachungulia 570$..
 
Huku Mbona hakuna kitu? Kanda ya ziwa ni wapi? N.a. cc mwz tumo? Masokoni watu wamejazana,mashuleni na vyuoni ndo usiseme,mabarabarani kwe madaradara misongamano iliopo ni balaa.Balakoa hatuvai,tunasikia vitisho tu,uhalisia hatuoni,toweni taarifa kamili.
 
Ukishakuwa muongo, ni ngumu sana watu kukuamini utapiamua kuwa mkweli...

Watu walikuamini wakati huo uliposifia nyungu, zile togwa za Nimr, sijui Bupiji n.k...

Je, sasa hivi watu wataweka imani katika maneno yako kweli mama Dk. Gwajima?
 
Huko Kilimanjaro watu wanapuputika kweli, Bora serikali ilete tu hizo chanjo maana Hali si nzuri na watu hawachukui tahadhari ka kipindi coronavirus ilivoingia
Kama hawajaona umuhimu wa kuchukua tahadhari ndio unafikiri watakuwa na haja ya kwenda kudungwa chanjo?
 
Kuweni makini na wachawi wanaoua watu kwa kisingizio cha korona, unaweza kushangaa kipindi cha kiangazi kipindupindu kikaibuka kumbe walozi wameshafanya yao......
 
Mwongo huyu mbona hatuoni kitu? Huku hata huo umbea hamna tunasikia tu kwenye mitandao, huu ugonjwa wa kuleta mnaukuza sana. Eti walipungikiwa mitungi? Aiseee siasa mbaya.
Watu wamekalia kujazana upepo.
 
Mwongo huyu mbona hatuoni kitu? Huku hata huo umbea hamna tunasikia tu kwenye mitandao, huu ugonjwa wa kuleta mnaukuza sana. Eti walipungikiwa mitungi? Aiseee siasa mbaya.
Niko Mwanza mweiz wa tatu sasa.Hiyo 'taharuki" hata sijaiona na maisha yanendelea kama kawaida tu.
Sijui perpetrators wa haya wanafanya kwa faida ya nani kwakweli
 
Huyu mama sura mbaya kaacha kula mapachichi yaliyooza yeye na yule basha wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…