Hivi mwafikiria Wazungu wanakubaliana na kubahatisha?! Chanjo yenyewe ina bagua na wanatayarisha speshali ya kwenda kwa wanao waita nyani wa huko Afrika. Ulaya kwenyewe wachezaji weusi wa soccer hurushiwa ndizi mbivu kuwakejeli pamoja nà umahiri wao wa kusakata kandanda. Vipi kwa mswahili wa Namtumbo chanjo yake itakuwa salama?!