DOKEZO Waziri Gwajima, mwanamke huyu anafanyiwa ukatili na unyanyasaji kutoka kwa baba mwenye nyumba wake

DOKEZO Waziri Gwajima, mwanamke huyu anafanyiwa ukatili na unyanyasaji kutoka kwa baba mwenye nyumba wake

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Hivi karibuni nimeshuhudia kitendo kikubwa sana cha unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliofanyiwa Mwanamke mmoja jirani na kwangu dhidi ya mwenye nyumba wake, nikaona si vyema kulikalia kimya tukio hili ni lazima nilitolee taarifa ili wahusika wamsaidie mwanamke huyo na jamii ijifunze.

Majira ya saa mbili za usiku siku ya Alhamisi tarehe 17. 10.2024 nilisikia sauti ya baba mwenye nyumba huyo akisema kesho muondoke siwataki hapa.

Na wewe Mwanamke kesho mumewe akitoka asubuhi kwenda ofisini ufuatane naye huko huko ukikuacha hapa utakiona cha moto nitakufanya kitu kibaya (kwa sauti ya ukali sana akaingia ndani kwake akafunga mlango paaaa)!

Ikanibidi asubuhi nimuulize yule Mwanamke kulikoni mbona jana mwenye nyumba alikuwa anazungumza kwa sauti ya ukali sana shida hasa ni nini.

Akasema aliwaambia mwisho wa mwezi huu wasitishe mkataba, na mume wake yupo kwenye mchakato wa kutafuta nyumba nyingine kabla ya mwisho wa mwezi.

Akanieleza kuwa tayari walisha kubaliana ila anashangaa anapitia vitisho na manyanyaso kwa kitu ambacho walishazungumza wao wenyewe kama wanaume.

Hata asubuhi ya leo baada ya mume wake kwenda ofisini alienda kugonga mlango wake kwa nguvu sana akimuulizia mume wake ili hali alimuona katoka asubuhi na mapema kuelekea kazini.

Akanieleza kwa baaada ya kufungua mlango akamfokea sana na kusema nataka muondoke sitaki kuwaona na maneno mengine yasiyo ya kistaarabu kwa sauti ya juu na ukali sana.

Mwanamke huyo anasema kinachomtisha zaidi ni kwamba kwanini anashambuliwa huyo mwenye nyumba anamsumbua yeye pindi tu mme wake akiondoka mbona mume wake akiwepo hafanyi hivyo.

Nimerudi jioni kutoka mizunguko yangu siku ya ijumaa usiku sikumkuta yule dada baadae nikampigia simu akasema ameondoka amenda kukaa kwa dada yake maana roho yake haina amani kwa vitendo na maswahibu kutoka kwa mwenye nyumba.

Nikamuuliza vipi kuhusu biashara yako ya maandazi itakuwaje na wateja wameanza kuongezeka,akasema anahitaji kwanza kutulia apate amani ya moyo maana vitisho vikali vilimuathiri hakuwa na amani hata kidogo na ameshamwambia mume wake waamie mahali pengine yeye hawezi kuishi tena pale.

Nikajaribu kumshauri aende kufungua kesi dhidi ya unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliotendewa maana ni haki yake ya kisheria.

Akasema anaogopa hajawahi kwenda polisi wala mahakamani kwa hiyo hawezi kufanya hivyo yeye anamuachia Mungu tu.

Nimejaribu sana kumshawishi amekataa ila leo nataka niongee na mume wake azungumze naye ili tuweze kwenda kutafuta haki yake ya kisheria dhidi ya unyanyasaji na udhalilishaji huo.

Hata kama nyumba ni yake ila asiitumie kwa ajili ya kunyanyasa na kuumiza wengine maana hata mpangaji nae ana haki zake.

Katika hili tunaomba Mh waziri na vyombo vinavyohusika kumsaidia mwanamke huyu dhidi ya unyanyasaji wa kiwango hiki kisicho vumilika mpaka mtu anakimbia nyumba anayoishi.

Mimi nipo tayari kutoa ushirikiano katika hili.

~SAIDIENI JAMII
 
Hivi karibuni nimeshuhudia kitendo kikubwa sana cha unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliofanyiwa Mwanamke mmoja jirani na kwangu dhidi ya mwenye nyumba wake, nikaona si vyema kulikalia kimya tukio hili ni lazima nilitolee taarifa ili wahusika wamsaidie mwanamke huyo na jamii ijifunze.

Majira ya saa mbili za usiku siku ya Alhamisi tarehe 17. 10.2024 nilisikia sauti ya baba mwenye nyumba huyo akisema kesho muondoke siwataki hapa.

Na wewe Mwanamke kesho mumewe akitoka asubuhi kwenda ofisini ufuatane naye huko huko ukikuacha hapa utakiona cha moto nitakufanya kitu kibaya (kwa sauti ya ukali sana akaingia ndani kwake akafunga mlango paaaa)!

Ikanibidi asubuhi nimuulize yule Mwanamke kulikoni mbona jana mwenye nyumba alikuwa anazungumza kwa sauti ya ukali sana shida hasa ni nini.

Akasema aliwaambia mwisho wa mwezi huu wasitishe mkataba, na mume wake yupo kwenye mchakato wa kutafuta nyumba nyingine kabla ya mwisho wa mwezi.

Akanieleza kuwa tayari walisha kubaliana ila anashangaa anapitia vitisho na manyanyaso kwa kitu ambacho walishazungumza wao wenyewe kama wanaume.

Hata asubuhi ya leo baada ya mume wake kwenda ofisini alienda kugonga mlango wake kwa nguvu sana akimuulizia mume wake ili hali alimuona katoka asubuhi na mapema kuelekea kazini.

Akanieleza kwa baaada ya kufungua mlango akamfokea sana na kusema nataka muondoke sitaki kuwaona na maneno mengine yasiyo ya kistaarabu kwa sauti ya juu na ukali sana.

Mwanamke huyo anasema kinachomtisha zaidi ni kwamba kwanini anashambuliwa huyo mwenye nyumba anamsumbua yeye pindi tu mme wake akiondoka mbona mume wake akiwepo hafanyi hivyo.

Nimerudi jioni kutoka mizunguko yangu siku ya ijumaa usiku sikumkuta yule dada baadae nikampigia simu akasema ameondoka amenda kukaa kwa dada yake maana roho yake haina amani kwa vitendo na maswahibu kutoka kwa mwenye nyumba.

Nikamuuliza vipi kuhusu biashara yako ya maandazi itakuwaje na wateja wameanza kuongezeka,akasema anahitaji kwanza kutulia apate amani ya moyo maana vitisho vikali vilimuathiri hakuwa na amani hata kidogo na ameshamwambia mume wake waamie mahali pengine yeye hawezi kuishi tena pale.

Nikajaribu kumshauri aende kufungua kesi dhidi ya unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliotendewa maana ni haki yake ya kisheria.

Akasema anaogopa hajawahi kwenda polisi wala mahakamani kwa hiyo hawezi kufanya hivyo yeye anamuachia Mungu tu.

Nimejaribu sana kumshawishi amekataa ila leo nataka niongee na mume wake azungumze naye ili tuweze kwenda kutafuta haki yake ya kisheria dhidi ya unyanyasaji na udhalilishaji huo.

Hata kama nyumba ni yake ila asiitumie kwa ajili ya kunyanyasa na kuumiza wengine maana hata mpangaji nae ana haki zake.

Katika hili tunaomba Mh waziri na vyombo vinavyohusika kumsaidia mwanamke huyu dhidi ya unyanyasaji wa kiwango hiki kisicho vumilika mpaka mtu anakimbia nyumba anayoishi.

Mimi nipo tayari kutoa ushirikiano katika hili.

~SAIDIENI JAMII
Mara biashara ya maandazi imekuwa.
Mara kaenda kwa dada yake.
Mkuu ungekuwa wa maana zaidi ungemhifadhi huyo dada na mmewe. Lkn iweje mumewe asiumie wewe ndiye uumie zaidi hao majirani zako kuhama hapo karibu na kwako, una namba ya simu ya mke wa jirani yako?????. Ama;
1. Umemgeuza mke wa jiran mchepuko wako.
2. Una ugomvi binafsi na jran baba mwenye nyumba unataka kutumia hili kama ngazi kumharibia.
Hapa Mjini umekuja peke yako, punguza kufukunyua yasiyo kuhusu!
 
Hivi karibuni nimeshuhudia kitendo kikubwa sana cha unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliofanyiwa Mwanamke mmoja jirani na kwangu dhidi ya mwenye nyumba wake, nikaona si vyema kulikalia kimya tukio hili ni lazima nilitolee taarifa ili wahusika wamsaidie mwanamke huyo na jamii ijifunze.

Majira ya saa mbili za usiku siku ya Alhamisi tarehe 17. 10.2024 nilisikia sauti ya baba mwenye nyumba huyo akisema kesho muondoke siwataki hapa.

Na wewe Mwanamke kesho mumewe akitoka asubuhi kwenda ofisini ufuatane naye huko huko ukikuacha hapa utakiona cha moto nitakufanya kitu kibaya (kwa sauti ya ukali sana akaingia ndani kwake akafunga mlango paaaa)!

Ikanibidi asubuhi nimuulize yule Mwanamke kulikoni mbona jana mwenye nyumba alikuwa anazungumza kwa sauti ya ukali sana shida hasa ni nini.

Akasema aliwaambia mwisho wa mwezi huu wasitishe mkataba, na mume wake yupo kwenye mchakato wa kutafuta nyumba nyingine kabla ya mwisho wa mwezi.

Akanieleza kuwa tayari walisha kubaliana ila anashangaa anapitia vitisho na manyanyaso kwa kitu ambacho walishazungumza wao wenyewe kama wanaume.

Hata asubuhi ya leo baada ya mume wake kwenda ofisini alienda kugonga mlango wake kwa nguvu sana akimuulizia mume wake ili hali alimuona katoka asubuhi na mapema kuelekea kazini.

Akanieleza kwa baaada ya kufungua mlango akamfokea sana na kusema nataka muondoke sitaki kuwaona na maneno mengine yasiyo ya kistaarabu kwa sauti ya juu na ukali sana.

Mwanamke huyo anasema kinachomtisha zaidi ni kwamba kwanini anashambuliwa huyo mwenye nyumba anamsumbua yeye pindi tu mme wake akiondoka mbona mume wake akiwepo hafanyi hivyo.

Nimerudi jioni kutoka mizunguko yangu siku ya ijumaa usiku sikumkuta yule dada baadae nikampigia simu akasema ameondoka amenda kukaa kwa dada yake maana roho yake haina amani kwa vitendo na maswahibu kutoka kwa mwenye nyumba.

Nikamuuliza vipi kuhusu biashara yako ya maandazi itakuwaje na wateja wameanza kuongezeka,akasema anahitaji kwanza kutulia apate amani ya moyo maana vitisho vikali vilimuathiri hakuwa na amani hata kidogo na ameshamwambia mume wake waamie mahali pengine yeye hawezi kuishi tena pale.

Nikajaribu kumshauri aende kufungua kesi dhidi ya unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliotendewa maana ni haki yake ya kisheria.

Akasema anaogopa hajawahi kwenda polisi wala mahakamani kwa hiyo hawezi kufanya hivyo yeye anamuachia Mungu tu.

Nimejaribu sana kumshawishi amekataa ila leo nataka niongee na mume wake azungumze naye ili tuweze kwenda kutafuta haki yake ya kisheria dhidi ya unyanyasaji na udhalilishaji huo.

Hata kama nyumba ni yake ila asiitumie kwa ajili ya kunyanyasa na kuumiza wengine maana hata mpangaji nae ana haki zake.

Katika hili tunaomba Mh waziri na vyombo vinavyohusika kumsaidia mwanamke huyu dhidi ya unyanyasaji wa kiwango hiki kisicho vumilika mpaka mtu anakimbia nyumba anayoishi.

Mimi nipo tayari kutoa ushirikiano katika hili.

~SAIDIENI JAMII
Mtoto wa kiume mbea kama Kitu gani!...
Una mpaka number ya simu hali huyo mwanamke ana aidha mume au njemba yake ....

Hivi nyinyi GEN-Z mnakwama wapi?
 
Hivi karibuni nimeshuhudia kitendo kikubwa sana cha unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliofanyiwa Mwanamke mmoja jirani na kwangu dhidi ya mwenye nyumba wake, nikaona si vyema kulikalia kimya tukio hili ni lazima nilitolee taarifa ili wahusika wamsaidie mwanamke huyo na jamii ijifunze.

Majira ya saa mbili za usiku siku ya Alhamisi tarehe 17. 10.2024 nilisikia sauti ya baba mwenye nyumba huyo akisema kesho muondoke siwataki hapa.

Na wewe Mwanamke kesho mumewe akitoka asubuhi kwenda ofisini ufuatane naye huko huko ukikuacha hapa utakiona cha moto nitakufanya kitu kibaya (kwa sauti ya ukali sana akaingia ndani kwake akafunga mlango paaaa)!

Ikanibidi asubuhi nimuulize yule Mwanamke kulikoni mbona jana mwenye nyumba alikuwa anazungumza kwa sauti ya ukali sana shida hasa ni nini.

Akasema aliwaambia mwisho wa mwezi huu wasitishe mkataba, na mume wake yupo kwenye mchakato wa kutafuta nyumba nyingine kabla ya mwisho wa mwezi.

Akanieleza kuwa tayari walisha kubaliana ila anashangaa anapitia vitisho na manyanyaso kwa kitu ambacho walishazungumza wao wenyewe kama wanaume.

Hata asubuhi ya leo baada ya mume wake kwenda ofisini alienda kugonga mlango wake kwa nguvu sana akimuulizia mume wake ili hali alimuona katoka asubuhi na mapema kuelekea kazini.

Akanieleza kwa baaada ya kufungua mlango akamfokea sana na kusema nataka muondoke sitaki kuwaona na maneno mengine yasiyo ya kistaarabu kwa sauti ya juu na ukali sana.

Mwanamke huyo anasema kinachomtisha zaidi ni kwamba kwanini anashambuliwa huyo mwenye nyumba anamsumbua yeye pindi tu mme wake akiondoka mbona mume wake akiwepo hafanyi hivyo.

Nimerudi jioni kutoka mizunguko yangu siku ya ijumaa usiku sikumkuta yule dada baadae nikampigia simu akasema ameondoka amenda kukaa kwa dada yake maana roho yake haina amani kwa vitendo na maswahibu kutoka kwa mwenye nyumba.

Nikamuuliza vipi kuhusu biashara yako ya maandazi itakuwaje na wateja wameanza kuongezeka,akasema anahitaji kwanza kutulia apate amani ya moyo maana vitisho vikali vilimuathiri hakuwa na amani hata kidogo na ameshamwambia mume wake waamie mahali pengine yeye hawezi kuishi tena pale.

Nikajaribu kumshauri aende kufungua kesi dhidi ya unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliotendewa maana ni haki yake ya kisheria.

Akasema anaogopa hajawahi kwenda polisi wala mahakamani kwa hiyo hawezi kufanya hivyo yeye anamuachia Mungu tu.

Nimejaribu sana kumshawishi amekataa ila leo nataka niongee na mume wake azungumze naye ili tuweze kwenda kutafuta haki yake ya kisheria dhidi ya unyanyasaji na udhalilishaji huo.

Hata kama nyumba ni yake ila asiitumie kwa ajili ya kunyanyasa na kuumiza wengine maana hata mpangaji nae ana haki zake.

Katika hili tunaomba Mh waziri na vyombo vinavyohusika kumsaidia mwanamke huyu dhidi ya unyanyasaji wa kiwango hiki kisicho vumilika mpaka mtu anakimbia nyumba anayoishi.

Mimi nipo tayari kutoa ushirikiano katika hili.

~SAIDIENI JAMII
Omba Mungu ujenge, au akupe pesa ya kulipa kodi. inaumiza sana ukiwa na nyumba uliyotolea jasho na mtu anakaa bila kulipa kodi. washauri hao wadaiwa walipe kodi ya watu, hapo sio kwao, kuishi kwao kunategemea kodi.
 
Hivi karibuni nimeshuhudia kitendo kikubwa sana cha unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliofanyiwa Mwanamke mmoja jirani na kwangu dhidi ya mwenye nyumba wake, nikaona si vyema kulikalia kimya tukio hili ni lazima nilitolee taarifa ili wahusika wamsaidie mwanamke huyo na jamii ijifunze.

Majira ya saa mbili za usiku siku ya Alhamisi tarehe 17. 10.2024 nilisikia sauti ya baba mwenye nyumba huyo akisema kesho muondoke siwataki hapa.

Na wewe Mwanamke kesho mumewe akitoka asubuhi kwenda ofisini ufuatane naye huko huko ukikuacha hapa utakiona cha moto nitakufanya kitu kibaya (kwa sauti ya ukali sana akaingia ndani kwake akafunga mlango paaaa)!

Ikanibidi asubuhi nimuulize yule Mwanamke kulikoni mbona jana mwenye nyumba alikuwa anazungumza kwa sauti ya ukali sana shida hasa ni nini.

Akasema aliwaambia mwisho wa mwezi huu wasitishe mkataba, na mume wake yupo kwenye mchakato wa kutafuta nyumba nyingine kabla ya mwisho wa mwezi.

Akanieleza kuwa tayari walisha kubaliana ila anashangaa anapitia vitisho na manyanyaso kwa kitu ambacho walishazungumza wao wenyewe kama wanaume.

Hata asubuhi ya leo baada ya mume wake kwenda ofisini alienda kugonga mlango wake kwa nguvu sana akimuulizia mume wake ili hali alimuona katoka asubuhi na mapema kuelekea kazini.

Akanieleza kwa baaada ya kufungua mlango akamfokea sana na kusema nataka muondoke sitaki kuwaona na maneno mengine yasiyo ya kistaarabu kwa sauti ya juu na ukali sana.

Mwanamke huyo anasema kinachomtisha zaidi ni kwamba kwanini anashambuliwa huyo mwenye nyumba anamsumbua yeye pindi tu mme wake akiondoka mbona mume wake akiwepo hafanyi hivyo.

Nimerudi jioni kutoka mizunguko yangu siku ya ijumaa usiku sikumkuta yule dada baadae nikampigia simu akasema ameondoka amenda kukaa kwa dada yake maana roho yake haina amani kwa vitendo na maswahibu kutoka kwa mwenye nyumba.

Nikamuuliza vipi kuhusu biashara yako ya maandazi itakuwaje na wateja wameanza kuongezeka,akasema anahitaji kwanza kutulia apate amani ya moyo maana vitisho vikali vilimuathiri hakuwa na amani hata kidogo na ameshamwambia mume wake waamie mahali pengine yeye hawezi kuishi tena pale.

Nikajaribu kumshauri aende kufungua kesi dhidi ya unyanyasaji, udhalilishaji na ukatili aliotendewa maana ni haki yake ya kisheria.

Akasema anaogopa hajawahi kwenda polisi wala mahakamani kwa hiyo hawezi kufanya hivyo yeye anamuachia Mungu tu.

Nimejaribu sana kumshawishi amekataa ila leo nataka niongee na mume wake azungumze naye ili tuweze kwenda kutafuta haki yake ya kisheria dhidi ya unyanyasaji na udhalilishaji huo.

Hata kama nyumba ni yake ila asiitumie kwa ajili ya kunyanyasa na kuumiza wengine maana hata mpangaji nae ana haki zake.

Katika hili tunaomba Mh waziri na vyombo vinavyohusika kumsaidia mwanamke huyu dhidi ya unyanyasaji wa kiwango hiki kisicho vumilika mpaka mtu anakimbia nyumba anayoishi.

Mimi nipo tayari kutoa ushirikiano katika hili.

~SAIDIENI JAMII
hii wapi imetokea?
 
Mleta uzi umelewa au ni mzima??
Hivi unadhani kazi ya waziri ni kutetea wadiokipa kodi,aebde serikali ya mtaa kuna baraza la ardhi ila kikubwa alipe kodi au aachie Nyumba ya watu
 
Ha ha ha ha haaaaa hapa nahisi mtoa post anatamani afute maana sio kwa mashambulizi haya.
Ila kuna namna sio bure huyu mtoa ana wivu wa kike kike au huyo mpangaj n mpango wa kando na kwanini ajue stori nzima?
 
Back
Top Bottom